Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Wakuu
Yericko Nyerere ameandika;
Jeshi la Polisi limemkamata Kamanda wetu Mwanachama wa Chadema Mhe. Steven Kamilius Membe nyumbani kwao Rondo na kumuweka Lock up ya Kituo kikubwa cha Polisi Lindi Mjini.
Bado hakuna uwazi wa makosa wanayomshikilia nayo. Tunaendelea kufuatilia kwa ukaribu sana. Ila mtoa taarifa wetu ambaye ni Mtoto wake ametueleza Chadema Kusini kwamba wanamshilia kwa masuala ya kisiasa kutokana na hoja nzito alizotoa kwa wananchi siku ya Mkutano wa Chadema wa uzinduzi wa Kampeni za chaguzi wa serikali za mitaa.
Pia, Soma: Kukamatwa viongozi wa CHADEMA, Polisi wadai "CHADEMA walikaidi amri ya Askari, walirusha mawe na kujeruhi Askari"
Aidha inasemekana ni agizo la Viongozi wa CCM wa Kata na Wilaya kuhakikisha anawekwa ndani ili kufifisha Kampeni za CHADEMA kule Rondo.
Taarifa na Chadema Kanda ya Kusini
Yericko Nyerere ameandika;
Jeshi la Polisi limemkamata Kamanda wetu Mwanachama wa Chadema Mhe. Steven Kamilius Membe nyumbani kwao Rondo na kumuweka Lock up ya Kituo kikubwa cha Polisi Lindi Mjini.
Bado hakuna uwazi wa makosa wanayomshikilia nayo. Tunaendelea kufuatilia kwa ukaribu sana. Ila mtoa taarifa wetu ambaye ni Mtoto wake ametueleza Chadema Kusini kwamba wanamshilia kwa masuala ya kisiasa kutokana na hoja nzito alizotoa kwa wananchi siku ya Mkutano wa Chadema wa uzinduzi wa Kampeni za chaguzi wa serikali za mitaa.
Pia, Soma: Kukamatwa viongozi wa CHADEMA, Polisi wadai "CHADEMA walikaidi amri ya Askari, walirusha mawe na kujeruhi Askari"
Aidha inasemekana ni agizo la Viongozi wa CCM wa Kata na Wilaya kuhakikisha anawekwa ndani ili kufifisha Kampeni za CHADEMA kule Rondo.
Taarifa na Chadema Kanda ya Kusini