LGE2024 Polisi wamkamata na kumuweka Lock up Steven Membe, Mwanachama wa CHADEMA, nyumbani kwao Rondo

LGE2024 Polisi wamkamata na kumuweka Lock up Steven Membe, Mwanachama wa CHADEMA, nyumbani kwao Rondo

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Hii nchi haiishi vituko. Yani Tanzania upate stress kwa kujitakia maana polisi wamejaa futuhi tupu. Eti Stephen Membe (kada wa Chadema) kakamatwa na Polisi na kufunguliwa kesi, "kwa nini unafundisha vijana mazoezi ya kijeshi?".

Hili limetokea Lindi jimbo la Mtama linaloshikiliwa na waziri aliyefurushwa Nape Nnauye. Hivi mazoezi ya kijeshi ni yepi hayo?
 
Hii nchi haiishi vituko. Yani Tanzania upate stress kwa kujitakia maana polisi wamejaa futuhi tupu. Eti Stephen Membe (kada wa Chadema) kakamatwa na Polisi na kufunguliwa kesi, "kwa nini unafundisha vijana mazoezi ya kijeshi?".

Hili limetokea Lindi jimbo la Mtama linaloshikiliwa na waziri aliyefurushwa Nape Nnauye. Hivi mazoezi ya kijeshi ni yepi hayo?
Mzee wa bao la mkono ameanza figisufigisu.
 
Wakuu

Yericko Nyerere ameandika;

Jeshi la Polisi limemkamata Kamanda wetu Mwanachama wa Chadema Mhe. Steven Kamilius Membe nyumbani kwao Rondo na kumuweka Lock up ya Kituo kikubwa cha Polisi Lindi Mjini.

Bado hakuna uwazi wa makosa wanayomshikilia nayo. Tunaendelea kufuatilia kwa ukaribu sana. Ila mtoa taarifa wetu ambaye ni Mtoto wake ametueleza Chadema Kusini kwamba wanamshilia kwa masuala ya kisiasa kutokana na hoja nzito alizotoa kwa wananchi siku ya Mkutano wa Chadema wa uzinduzi wa Kampeni za chaguzi wa serikali za mitaa.

Pia, Soma: Kukamatwa viongozi wa CHADEMA, Polisi wadai "CHADEMA walikaidi amri ya Askari, walirusha mawe na kujeruhi Askari"

Aidha inasemekana ni agizo la Viongozi wa CCM wa Kata na Wilaya kuhakikisha anawekwa ndani ili kufifisha Kampeni za CHADEMA kule Rondo.

Taarifa na Chadema Kanda ya KusiniView attachment 3160195View attachment 3160196
Huyu ni mtoto wa Late Membe????
 
Huyo situkonaye humu kila siku,hata kukimuuziza Leejay
 
Makamanda wa chadema ni kama hao YERICKO NA YULE FALA MWINGINE SIJUE MDUDE CHADEME,

Tatizo lenu ni nini chadema??mnaanzaje kuchukua watu wanaostahiki kuwa MIREMBE,kisha nyinyi mnawafanya ndiyo Vijana wenu??
 
Back
Top Bottom