Polisi wampe ulinzi mke wa Dr. Mwaka. Sakata la ndoa yao lina vita ya kiuchumi ambayo inaweza kupelekea mauaji

Polisi wampe ulinzi mke wa Dr. Mwaka. Sakata la ndoa yao lina vita ya kiuchumi ambayo inaweza kupelekea mauaji

... mgao wa watoto? Mnagawanaje watoto labda? Madeni ni mali tambua hilo. Ila najua umeshaelewa; hizo stori nyingine unajaribu tu kupotezea.
Kama hujui baada ya utengano watoto hugawiwa wewe bado ni kinda
 
Sitapenda kuchimba sana kwenye mgogoro wa ndoa

Lakini naomba kusema machache kwenye sura ya usalama wa kila mmoja kwenye mgogoro huo!

Ukitazama kwa juu juu unaweza kushangaa kwanini mambo yao ya ndoani yameifikia jamii.

Lakini ukitafakali sana unagundua sakata lao ni sawa na moto, ulianza kama moto mdogo ndani ya nyumba yao lakini ulishindikana kuzimwa kwa faya extuingusher, hivyo moto umekuwa mkubwa moshi umetanda kiasi cha kuhitaji msaada wa jamii na zimamoto!

Hivyo serikali ikichelewa kutoa msaada wa haraka itakuwa kama zimamoto iliyochelewa! Hakutakuwa na kuokoa kila kitu kitapukutika!

VITA YA KIUCHUMI NI MBAYA SANA
Queen (mke wa Dr Mwaka) anaonekana kuhitaji taratibu zote za haki zifuatwe katika sakata lao la ndoa! Lakini anayokutana nayo kwenye kesi yake huenda kama siyo Rushwa basi yanavurugwa na mfumo dume!

Kwa maelezo yake mwenyewe anakutana na majibu ya jeuri, vitisho katika mamlaka yake ya haki ya ndoa! (Swali kwanini wamtishe? Kwa nini wamjibu jeuri mteja katika shauri la haki?

utakubaliana na mimi kwamba Kama siyo rushwa basi ni mfumo dume!
Ambapo kama Tabia hii haijakomeshwa iko siku taifa litaingizwa kwenye migogoro ya kijinsia! (Tusifike huko)

KWANINI HAYO YOTE?
Kwa taswira ya mmoja mmoja hakuna anayemhitaji mwenzake kindoa! Lakini kwasababu za kiuchumi ndicho kinacholeta marumbano hayo!.

TUKIANZA NA DR. MWAKA!

Huyu MWAKA ni mfanyabiashara, kazi yake kubwa inayompa wateja wengi ni kusuluhisha migogoro ya ndoa na tiba kwenye masuala ya uzazi (ndoa)!.

faida ya kazi hii ndiyo inayomlisha, ndiyo iliyompatia wake zake wengine!

Kwa mfano!
Endapo Ahadi ya wateja wa Dr. MWAKA kumuona kwa ajili ya ushauri wa kindoa walilipia (laki tatu ~Hadi tano) inamaana kwa siku anaweza kuwa anaingiza zaidi ya (2mil hadi 5mil) bila shaka itakuwa ni pesa nyingi kwa mwezi na mwaka!

Ukiachilia mbali kazi ya ushauri, Imani ya mauzo ya dawa zake kutibu ndoa za wengine ni kubwa!

Hivyo ukijumlisha tiba na mauzo ya dawa utaona ni pesa nyingi kiasi gani
.
kwa lugha rahisi ni kwamba kumuua Dr. Mwaka kibiashara ni KUONDOA IMANI KWA WATEJA!

Hivyo kwa gharama yoyote iwe mvua iwe jua TALAKA YA NDOA HII Haiwezi kuwa rahisi kama wengi walivyotarajia!.

Kumpoteza mke wake kwa talaka ni shambulio kubwa sana la kibiashara ya mwaka pamoja na mapato pia inahatalisha ndoa zake zingine!

Swali ni je hayo yote dr. Mwaka hakuyajua mapema?

majibu ni mepesi tu "Kiburi cha pesa, Dharau na mfumo dume"
hivyo ndivyo vinavyoweza kuwa vimechangia!

Sakata hili ni sawa na bundi kuhamia kwa mganga! Analia usiku kucha, na mganga badala ya kupiga manyanga kwa tiba badala yake anatoa silaha kumpiga bundi ili kumnyamazisha kufumba wateja wake wasimkimbie!

Katika vita hii Dr mwaka anaweza kufanya tukio baya sana ili kulinda biashara yake na wake zake!

Usalama wa Queen upo mashakani kama polisi hawatampa ulinzi kuanzia sasa!

Mambo yao ya kisheria na haki yatizamwe haraka kwa usalama wao!

Mgogoro wa nyumba ni sehemu ndogo sana wa maslahi ya Dr.mwaka!

Maslahi makubwa ya anayolinda Mwaka ni biashara yake na wake zake wanaobaki wasimkimbie!

Ikumbukwe pia mwaka anamikopo benki ambayo marejesho yanategemea biashara hiyo!

Updates
TUME YA HAKI ZA BINADAM ikiongozwa na kamishina wamefika kwa mke wa mwaka ili kuona namna ya usalama wa mwanamke umeguswa! Na wamebaini kuna HOJA ya msingi ambayo inahitaji msaada!

Hivyo uwezekano wa mwaka kufanya ukatili ili kuifumba jamii ni mkubwa mno endapo shauri lao kama halitasikilizwa mapema! Na itangazwe wazi!
Kama kazi yake ni kutibu ndoa za watu wengine, kwa nini asitumie dawa hizo hizo kutibu ndoa yake?
 
Kama hujui baada ya utengano watoto hugawiwa wewe bado ni kinda
... mtoto under 8 haina mjadala; ni lazima aambatane na mzazi wake wa kike. Otherwise, ana haki ya kuchagua mwenyewe mzazi wa kuishi naye. Watu hawakai vikao kugawana watoto.
 
Mwaka naye ni mjinga ,amechuma mali kibao yaani anang'ang'ania nyumba na range tu? Ebu muachie mpe na talaka aende zake,hizo mali ni za watoto wako na si za mke.
Mkuu kwani ni waKristu hao unavyorahisisha namna hiyo?

Maana hata waKristu linapokuja suala la kuachana lazima taratibu za kisheria zifuatwe.

Wenzetu mwanamke kama kachoka, anarudisha mahari aliyotolewa kisha ndiyo anajiengua bila ya chochote.

Je kayafanya hayo?

Kusema: "amwachie" ni kutekeleza matakwa kinyume cha sheria.

Kadhia hii ya Mwaka imefukua mambo mengi sana kuanzia kidini, kisheria za ndoa, majukumu na wajibu wa viongozi wa dini katika masuala ya ndoa nk nk.
 
Mkuu kwani ni waKristu hao unavyorahisisha namna hiyo?

Maana hata waKristu linapokuja suala la kuachana lazima taratibu za kisheria zifuatwe.

Wenzetu mwanamke kama kachoka, anarudisha mahari aliyotolewa kisha ndiyo anajiengua bila ya chochote.

Je kayafanya hayo?

Kusema: "amwachie" ni kutekeleza matakwa kinyume cha sheria.

Kadhia hii ya Mwaka imefukua mambo mengi sana kuanzia kidini, kisheria za ndoa, majukumu na wajibu wa viongozi wa dini katika masuala ya ndoa nk nk.

Mwaka aliachana naye mwaka mzima yupo south mbona alikuwa kimya tu? Baada ya dada kuona hakuna ndoa anadai talaka ndiyo anaanza arudishe nyumba etc ,Queen kashapata mtu mwingine anachukua mzigo ,mwaka kaona bora aanze kumzingua.
 
Mkuu kwani ni waKristu hao unavyorahisisha namna hiyo?

Maana hata waKristu linapokuja suala la kuachana lazima taratibu za kisheria zifuatwe.

Wenzetu mwanamke kama kachoka, anarudisha mahari aliyotolewa kisha ndiyo anajiengua bila ya chochote.

Je kayafanya hayo?

Kusema: "amwachie" ni kutekeleza matakwa kinyume cha sheria.

Kadhia hii ya Mwaka imefukua mambo mengi sana kuanzia kidini, kisheria za ndoa, majukumu na wajibu wa viongozi wa dini katika masuala ya ndoa nk nk.
Hata mm sijaelewa hoja yake
 
Dr Mwaka ni katili sana,nimefuatilia hili suala kwa muda nimegundua huyu jamaa ni katili sana na hana huruma.
Nimemsikiliza huyo mwanamke ana IQ kubwa sana na ana busara sana,Mwaka aache kutumia hela zake kuumiza watu ni kitu kibaya sana.
Mwaka ni nani Mpaka anaiyumbisha BAKWATA kama siyo hela?

Nashauri Serikali ijitokeze kumsaidia huyu mwanamke,kwa jinsi nilivyomuangalia Mwaka na yale meno yake UMAFIA unaweza kutokea na asifanywe lolote.Kwakweli kwa ukatili wake natamani kuanzisha Kampeni ya kuzuia anaowatapeli wasimpe hizo hela.
 
Ampe talaka aendelee na maisha yake mwaka ni jeuri na toxic
Amewahi kukuoa if not umejuaje ni toxic ?

Yaani tunaishi kwenye kizazi cha kipumbavu sana, watu wanadhani taraka zinatolewa hovyo kama karanga.
 
Kuliko kuwaka tamaa vijana "oaneni"

Ndoa ni njema lakini inahitaji nidhamu!
KAMA HUNA NIDHAMU KIJANA USIOE WALA KUOLEWA!

Kama ilivyo mshahara kwa mfanyakazi!
Mshahara wa ndoa ni nidhamu!
Ikikosekana bora uachane na hiyo kazi maana haina mshahara
Kijana wa kiume usipooa utaolewa.
 
Huyo Mwaka kazingua sana..yule mama kwa maelezo ya jana...anahitaji kusepa tu..lkn pia kwa ajili alivyokua anaongea..yuko tayari kutulia kama atabembelezwa...shida huyo Mwaka ni kama hajui anataka nini, anampiga pini kila idara bila direction yoyote
Hujielewi
 
Back
Top Bottom