we unaona kauli za lissu ni za mtu timamu lazima atakuwa anatumia sembe kama si bangi
Hapana, inajikumbatia mahali fulani, kosa letu kubwa ni kuwachekea akina fulani.Ujinga mkuu wa Tanzania ni kuendelea kuikumbatia CCM
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Kweli kabisa tindo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kama ukiwa msema ukweli ndio unavuta bangi si bora watz wote tuvute.
Tanzania kwa sasa polisi hawafanyi kazi kwa utaratibu wao wa kawaida bali wanafanya kazi kwa Amri toka juu tu weledi na hekima vimetupwa mbali.Aisee! Yaani mashushushu mnaotegemewa na taifa ndio mnakuwa na akili kama za kwako?
wameenda kupekua labda ana silaha za mapinduzi,sasa mkojo utawasaidia kuzuia machafuko?!!!!Polisi hawazuiwi kisheria kufanya jambo litakalowasaidia katika upelelezi wao
Mbona wamempekua nyumbani kwake na amekubali kupekuliwa?kwani kaiba tv ya watu?
Kubalini tu Tundu nae anatumia kama Mbowe
naona unaombea itokee na haitokeiMwisho wa movie hii ni kutumbukia kwenye majanga kama wenzetu wanavyotuzunguka walivyopita kwenye majanga miaka ya nyuma wakati tulipokuwa tukijinadi kama kisiwa cha amani.
Mkojo utasaidia kujua kama anatumia bange au la kutokana na matamshi yake ya uchocheziwameenda kupekua labda ana silaha za mapinduzi,sasa mkojo utawasaidia kuzuia machafuko?!!!!
Makamu wa rais ajiangalie!CCM wameharibu weledi na taaluma ya jeshi la polisi. hivi sasa polisi hawajui walitendalo ni
na wakijua anatumia bange itawasaidia vipi kumtia hatiani kwa uchochezi?Mkojo utasaidia kujua kama anatumia bange au la kutokana na matamshi yake ya uchochezi
Tutajua mengi awamu hii.Dah tuhuma za uchochezi na kupima mkojo kunahusiana vipi
Maamuzi kutoka Juu