Polisi wampeleka Tundu Lissu kwa mkemia mkuu kupima Mkojo, awagomea..

Probably Lissu anachochea akiwa under influence/intoxicated. Lissu lazima apimwe kama anatumia sembe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi akikutwa hatumii then kosa la uchochezi linapungua au linaongezeka??

Do you have confidence ?
 
Mwisho wa siku watu wakistaafu wanaishi kwa upweke kama mzee Cover

May Allah bless Me and You
 
Siku hizi nchi hii kesi za uchochezi zinapimwa na mkemia mkuu wa serikali?? Hakika nchi hii haijawahi kuishiwa maajabu na vituko..we are acting like headless chicken!

666
 
Siku hizi nchi hii kesi za uchochezi zinapimwa na mkemia mkuu wa serikali?? Hakika nchi hii haijawahi kuishiwa maajabu na vituko..we are acting like headless chicken!

666
Daaaah,maajabu ya Tanzania!!!
 
Mkojo na mambo ya uchochezi wapi na wapi?
Unajua miaka ya nyuma , ili uwe polisi ulitakiwa uwe mrefu tu , hata kama hujui kusoma wala kuandika !

Mengine malizia mwenyewe .
 
kashabambikiwa kesi mtu hapo[emoji2] [emoji2] nimewaza kwa sauti tu

samahanini na nyinyi kwa kusikia mawazo yangu
 
Kama amekataa wakati mapolisi wana mamlaka ya kisheria kufanya upelelezi wamshtaki kwa shtaka lingine la ( failure to comply with lawful order) maana katika unaweza kukuta alifanya kosa kwa influence ya kitu fulani na kwa mujibu wa kifungu cha 9 na 10 cha sheria ya ushahidi wanatakiwa kabla hawajampeleka mahakamani wajue ni nini kilimsukuma kufanya kosa hilo. Hivyo wapo sahihi kabisa kumpima mkojo ijapo kuwa ukiangalia kijuu juu kwa jicho la kiswahili utaona kuwa kama ni inconsistent lakini ukiangalia kwa jicho la kisheria utagundua kuwa polisi wapo deep kinoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…