kama kazz
JF-Expert Member
- Apr 28, 2015
- 1,080
- 581
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Adhabu ya mtumia unga ni kupelekwa hospitaliKama anatumia dona basi kwisha kazi yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi akikutwa hatumii then kosa la uchochezi linapungua au linaongezeka??Probably Lissu anachochea akiwa under influence/intoxicated. Lissu lazima apimwe kama anatumia sembe.
Basi wasaide police kufungua hiyo kesiKama amaekataa kupimwa afunguliwe shitaka lingine la obstruction of justice,anafanya michezo ya kitoto tu
Daaaah,maajabu ya Tanzania!!!Siku hizi nchi hii kesi za uchochezi zinapimwa na mkemia mkuu wa serikali?? Hakika nchi hii haijawahi kuishiwa maajabu na vituko..we are acting like headless chicken!
666
Unajua miaka ya nyuma , ili uwe polisi ulitakiwa uwe mrefu tu , hata kama hujui kusoma wala kuandika !Mkojo na mambo ya uchochezi wapi na wapi?