Tunajua kutumia miguvu mingi kwa masuala yasiyo ya msingi wakati wenzetu wanakata kauli chini ya kifusi kwakweli inaskitisha sana , narudia tena nchi hiyo ina laana flani hivi
Asikini kama ww kauli zenu lazima muweke pesa. Wengine tulishahama hukouna hela ya kuita bajaj ya bolt tu usingekuwa unaropoka
Anadeal nao kimya kimya relaxWazir mkuu wako angekuwa timamu angeanza kudili na taasisi na mmiliki waliopelekea hayo maafa
Asante mzeiya, hata mimi nimewaza hivi hivi, mm naona Niffer anavopost mtandaoni kuwa ana pesa nyingi, like anamiliki range 2 plate no jina lake, trip to Dubai etc,Kutaka Kiki tu, kwanini asingetoa mchango yeye kama yeye?
Well said, solution ni simple kama hiyo uliyoongea, wakiendelea kumweka Niffer lockup, labda Watakua na Yao mengine, ils polisi wengi wa tz walivyo na njaa huenda watamtaftia na makosa mengine ili wamtoe hela LogikosKwahio tunatumia nguvu kazi, kodi zetu na muda wa kudeal na haya mambo ya maafa yamechukua second fiddle...
Haya mambo ni rahisi sana angepewa tu akaunti namba ya kuweka kwenye mfuko wa maafa akapewa shukrani zake na kuwaambia wengine ili kuepuka utapeli na wizi kama kuna kitu kama hiki wakifanye officially...
Nguvu gani imetumika hapoTunajua kutumia miguvu mingi kwa masuala yasiyo ya msingi wakati wenzetu wanakata kauli chini ya kifusi kwakweli inaskitisha sana , narudia tena nchi hiyo ina laana flani hivi.
Key word- WIVU. Hauwezi ukawasikia strongly wakiichambua serikali inavyokalia kimya(inavyowalinda) au inavyowafuga watekaji. Toka Jiwe aanzishe(yes JIWE) utaratibu wa kuteka mpaka sura za watekaji(popularly WASIOJULIKANA) zinakuwa published mitandaoni huku wakikanwa na polisi hutawasikia hao chawa wakivalia njuga suala hilo.Huyu dada inaonekana kama ana maadui wengi sasa sijui ni fitna au wivu tu juu yake au ni nini?
Maana nimesikia leo kioind wasafi radio akina zembwela na kitenge wanamkalia kooni haswa mpaka nikajiuliza ,shida ni hii hii michango au labda kuna mengine?
Oya 😂 FK21 ukute mmoja wa huyo polisi aliemsafirisha Niffer, humu jf anatumia ID anajiita Mzee wa kupambania 😂😂😂 Mzee wa kupambaniaMust umo njiani wamemtomba
Nchi ya Tanzania na maajabu yake, hako kabinti ndiyo kamekuwa most wanted kwenye sakata la kuporomoka ghorofa au ndiyo njia ya ku-divert attention ili Engineers, Construction company na mmiliki wa jengo wasiguswe?Nilichokiona ni tumeenda haraka sana, nafikiri Mkuu angesema tu wote waliochangisha wawasilishe kwenye kamati ya maafa. Nimeona dada alikuwa wazi sana kusema kiasi alichokipata hadi ule wakati.
Ila na yeye dada alikosea namna ya kuukabili huu upepo, sijui kile kitabu cha 48 Laws alichosema anakisoma kimemsaidia nini kwenye huu upepo. Au yalikuwa maigizo tu.
Kabisa tatizo ni shule tu yeye na wafuasi wake wote vichwa majiPelekeni watoto shule
Ni kosa kubwa, tena halina dhamana kasome money laundering act , manguruwe na jatu wapo ndani kwa kosa hilo hilo na hawatatoka hadi siku ya hukumuHivi kuchangisha hela nchi hii ni kosa? Mbona akipata wakili mzuri anaweza kuwabwaga mahakamani.
Mbona huyo binti haku-deal naye kimyakimya?Anadeal nao kimya kimya relax
Kwanza usome sheria ya maafa,halafu uelewe je MAAFA NININI halafu ndo ufanye maamuzi.Taja sheria iliyovunjwa. Akili ikijaa fenesi na bia ni janga
Haijui hii nchi. Ukisa na vibiashara vyako usijikweze sana eti una hela. Watakuundia zengwe hutakaa uamini. Kuna dada mmoja alikuwaga almaarufu anaagiza bidhaa China kwa pesa za wateja, alichokipata hatasahau. Kakimbia mji umaarufu kwisha. Wapo wanawake wana biashara kubwa tu na hatuoni wakijikweza.Huyu binti achunge sana, waliompandisha wanaenda kumshusha na kumchakaza sana kuna waya kakanyaga mahali.
Waamiliki tu wa jengo,waandisi mpaka sasa kimyaMbona huyo binti haku-deal naye kimyakimya?
Na wale watekaji walioonekana live ana-deal nao kimyakimya?
Kwanini hajawahi kutoa kauli za kwamba watekaji wakamatwe kwani sura zao si zimeonekana live?
Kama ameweza(imempendeza) kutoa kauli ya kukamatwa huyo binti angetoa kauli kali zaidi ya kukamatwa wahusika wa maafa kuanzia msanifu wa jengo, Engineers na Company(companies) zilizohusika kujenga na kusimamia ujenzi wa ghorofa hilo lililoanguka.
Amejua kauli ya kumkamata huyo binti itaenda viral naye stupidly akaona aende nayo, huyo Kasimu awe anatumia akili japo kidogo kama ameamua kuwa kiongozi wa matamko aanze kutamka kukamatwa kwa watu wanaotishia amani raia na wanaoteka na kuua raia pamoja na watu 'wanaopotea' wakiwa mikononi mwa polisi.
Simple issue kama hii yangetoka tu maelekezo kuwe na transparency na pesa zielekezwe kwenye mfuko upi, stupid Kasimu.
Nguvu Gani Nyingi imetumika Hapo? Si ameenda Mwenyewe PolisiTunajua kutumia miguvu mingi kwa masuala yasiyo ya msingi wakati wenzetu wanakata kauli chini ya kifusi kwakweli inaskitisha sana , narudia tena nchi hiyo ina laana flani hivi.