Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 4,355
- 4,476
Naunga mkono hoja hiyo yote ni kuziua tupate muda mwingi kujadili ujinga
Tunajua kutumia miguvu mingi kwa masuala yasiyo ya msingi wakati wenzetu wanakata kauli chini ya kifusi kwakweli inaskitisha sana , narudia tena nchi hiyo ina laana flani hivi