Polisi wamsafirisha Niffer hadi Dar kutokea Dodoma baada ya kujisalimisha kufuatia agizo la Waziri Mkuu la kukamatwa

Majaliwa huyu huyu wa kwa magufuli ndiye aliye toa amli hiyo?
 
Nguvu Gani Nyingi imetumika Hapo? Si ameenda Mwenyewe Polisi

Nchi ina miongozo yake na Sheria zake. Hata Wewe sasa hivi huwezi kwenda Hospitalini ukaanza Kugawa Sabuni na Sukari kwa Wagonjwa Lazima Utakamatwa Tu
Hizo sheria zi kwa aina fulani ya watu, wale watekaji wa yule bonge huyo Kasimu champion wa matamko ametoa tamko gani? Je ametoa tamko lolote kuhusu companies na engineers pamoja na mmiliki wa jengo?
We ain't fools, we can read through that stupid Kasimu.
 
Jaribu Kwenda Kutoa Msaada hata Shule ya Msingi hapo Mtaani Kwenu bila Kuomba Kibali kwa Wenyeviti wa Mtaa na Mabalozi halafu Waambie Mbona Watekaji wa Bonge Hawajakamatwa Uone Utakachofanywa

Huwezi acha Watu wengine wasifuate Miongozo ya Nchi kisa Mambo Mengine hayajafanyiwa kazi au yapo kwenye Uchunguzi.. Tatizo la Watanzania Hatupendi Kuviacha Vyombo vyetu vifanye Kazi ni kulaumu tu kwenye Keyboard ⌨️
 
Utakuja kubaliana na hii yakikufika hii dunia kigeugeu sana yaani ujue inapo mgeoka huyu nawewe kesho itakugeuka. Kumbuka Sabaya
 
Sasa hii ni akili au makamasi? Yaani mtu kutoa sadaka na penyewe akamatwe?
Ndio Utakamatwa maana si kila Sadaka ni Njema, na kama Unatoa sadaka ikaleta madhara kwa Wahusika Utajibu pia. Ndio maana Unaambiwa kaombe Kibali cha Kutoa Sadaka ili hata Jambo lolote likitokea Hutawajibika Maana Ulipewa Kibali

Kwani Nyie hamjawahi kwenda Hata Kutembelea Jela wafungwa. Unapeleka Chakula Ila Utaambiwa kionje Kwanza Hata Kama Umempelekea Mzazi wako huko
 
Mwamposa aliwajibika kwa kuuwa watu uwanjani?
 
Huyu muhaya wenu ajifunze kutumia akili na aache kiherere, jana althubutu hadi kujibizana na waziri mkuu unategemea nini kweli?
Mbona hakujibizana na kifusi?. Sifia lakini sisi kwenye maafa sawa na mavi tu. Mnaona watu hawana thamani kwenu. Pale mgesikia kunamtoto wa waziri mkuu au wa rais naye kafukiwa mngejipanga kutoa hata jiwe mojamoja kwa mikono ili hatoke
 
Mwamposa aliwajibika kwa kuuwa watu uwanjani?
Swali lako halina Logic na Critical Thinking
Mwamposa aliitwa Polisi na Kwenda Kujieleza, kama Niffer

Kwahiyo Leo hii Raisi au Diamond platinum akipiga kampeni au Show Uwanja wa Mkapa Hapo watu wakakanyagana wakafa Utasema Aliwauwa Uwanjani?

Utathibitishaje aliwaua wakati hakumgusa hata Mtu kumuua!
 
Umeandika upumbavu mtupu
 
Ukikutana na waziri mkuu uso kwa uso unaweza kumwambia kuwa aliropoka?
 
Hivi kwa akili yako kile kigorofa ingetumika nguvu ya haraka Kama kukamatwa kwa huyo dada watu wangekaa chini ya kifusi kwa siku 3?.
Sio kila kitu ni cha kufanya kwa haraka dude sasa useme yaje magreda yatoe kifusi ao waliokuwapo hai si wangekufa vizuri,kumbuka mule waliokwisha kufa tangia siku ya kwanza wapo wengi tu na waliopo hai ndo walikuwa wanatolewa taratibu lile zege plus nondo sasa unakuta layer mbili zimekutana na pipo zipo down zinaita
 
Watu hawajui kitu Ndugu Yangu.. Tanzania Tunapigana na Maadui Wengu Nyerere alisema Watatu.. Ujinga ,umasikini na Maradhi.

Ujinga unamfanya Jamaa anadhani Ghorofa likianguka basi Ukileta Magreda Mengi Unaokoa Hajui kuna Kuta Zikiguswa Vibaya Tu Zinawaangukia hata Walio hai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…