Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Amejichanganya sana hapa.Huwezi kupewa 'agizo' na mamlaka za kiserikali then ukaja kujibu mitandaoni huku ukijinasibu una jeshi nyuma yako. Pesa, mafanikio & nyota njema bila akili za kawaida (Common sense) ni sifuri. BTW Hatosumbuliwa sana ila ataipata elimu kwa njia ngumu kutokana na kutokuchunga mdomo/mikono yake. Hata huko tunapoiga demokrasia na uhuru wa kutoa maoni unapoombwa/agizwa na mamlaka za kiserikali juu ya jambo fulani huwezi kujibu kuwa una 'jeshi kubwa nyuma yako' na hata serikali inajua. Unaweza ukaitukana Serikali kadiri utakavyo lakini kamwe usijaribu 'kuitishia'.
Kwani we hujui kama niffer anamatatizo ya shingo?Hicho kidude hapo shingoni ni kitu gani?
Naona umefurahiiii sana mkuu. Tupe kisa kimoja tu cha "nchi za wenzetu" kama hiki cha kwetu ambapo raia alifunzwa kwa namna hii.Huwezi kupewa 'agizo' na mamlaka za kiserikali then ukaja kujibu mitandaoni huku ukijinasibu una jeshi nyuma yako. Pesa, mafanikio & nyota njema bila akili za kawaida (Common sense) ni sifuri. BTW Hatosumbuliwa sana ila ataipata elimu kwa njia ngumu kutokana na kutokuchunga mdomo/mikono yake. Hata huko tunapoiga demokrasia na uhuru wa kutoa maoni unapoombwa/agizwa na mamlaka za kiserikali juu ya jambo fulani huwezi kujibu kuwa una 'jeshi kubwa nyuma yako' na hata serikali inajua. Unaweza ukaitukana Serikali kadiri utakavyo lakini kamwe usijaribu 'kuitishia'.
Huyu muhaya wenu ajifunze kutumia akili na aache kiherere, jana althubutu hadi kujibizana na waziri mkuu unategemea nini kweli?Tunajua kutumia miguvu mingi kwa masuala yasiyo ya msingi wakati wenzetu wanakata kauli chini ya kifusi kwakweli inaskitisha sana , narudia tena nchi hiyo ina laana flani hivi.
Hirizi za kileo hizoHicho kidude hapo shingoni ni kitu gani?
Imeisha hiyoila ni kitu gani hao umbwa waliotumwa plus mafuta etc etc na muda pia wangeongeza nguvu hiyo kweye uokoaji si hata watu wawili wangepona? sisi ni viazi usijitetee.
Mwenye jengo kesha kamatwa.......wewe unamtetea mwizi..... 😀Aliyesababisha maafa yupo huru wao na wa pesa za wananchi walio toa kwa uamuzi wao..
Wajifikirie..
Na wewe .....tumia logic basi.......yeye yupo Dodoma amekusanyaje pesa ya wahanga akiwa Dodoma....kama sio utapeli ni nini?😀Hivi kweli kulikuwa na haja ya kumsafirisha? Wameshindwa kufanya nae mahojiano akiwa Dodoma, sio matumizi mabaya ya kodi zetu haya? Haya mambo mengine yanashangaza. Sasa nini maana ya kuwa na makao makuu Dodoma? Au ilitakiwa aje aonenane na Waziri mkuu? Sioni logic ya jambo hili, labda kama kuna mtu alie elewa sababu/na umuhimu wa kumsafirisha atuambie.
Wapi nguvu imetumika?........jiongeze wewe....maafa yapo Dar es salaam yeye yupo Dodoma anachangisha......huo ni utapeli 😀 😀Tunajua kutumia miguvu mingi kwa masuala yasiyo ya msingi wakati wenzetu wanakata kauli chini ya kifusi kwakweli inaskitisha sana , narudia tena nchi hiyo ina laana flani hivi.
Wewe hujawahi kuwatumia watu hela mikoani? Kwani baada ya kukusanya si angetuma? mkuu mbona kama uko dunia ya mbali. Mbona Rais yuko Brasil na anaratibu mambo ya Dar? Umeongea ujinga.Na wewe .....tumia logic basi.......yeye yupo Dodoma amekusanyaje pesa ya wahanga akiwa Dodoma....kama sio utapeli ni nini?😀
Nifurahi kwa kipi?? Kujifunza ku controll mihemuko ni jambo jema sanaNaona umefurahiiii sana mkuu. Tupe kisa kimoja tu cha "nchi za wenzetu" kama hiki cha kwetu ambapo raia alifunzwa kwa namna hii.
Ni upuuzi tupu.Jeshi la Polisi limemsafirisha kwenda jijini Dar es Salaam mfanyabiashara wa mtandaoni, Jenifer Jovin maarufu Niffer baada ya kujisalimisha polisi jana.
Mfanyabiashara huyo alijisalimisha kwa Jeshi la Polisi jana baada ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuagiza Jeshi hilo kumhoji kwa kosa la kukusanya fedha za michango kwa ajili ya waathirika walioporomokewa na ghorofa Kariakoo jijini Dar es Salaam bila kibali.
Pia, Soma:
- Jeshi la Polisi tayari limempata Niffer kwa kuchangisha michango ya wahanga wa Kariakoo
- Niffer atoa majibu baada ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kutaka akamatwe kwa uchangishaji wa fedha kwa ajali ya maafa Kariakoo
Jengo hilo liliporomoka Jumamosi Novemba 16, 2024 na kusababisha vifo vya watu 16, majeruhi 86 na uharibifu wa mali za mamilioni ya fedha.
Akizungumza leo Jumanne Novemba 19, 2024 jijini Dodoma, Kaimu Kamanda wa Polisi wa mkoa huo, Anania Amo amesema Niffer amekamatwa na polisi baada ya kujisalimisha jana.
“Alijisalimisha jana baada ya kumtafuta, tayari tumemsafirisha kwenda jijini Dar es Salaam,”amesema.
Credit: Mwananchi
"Namuagiza waziri mkuu na hili nalo akaliangalie"Jeshi la Polisi limemsafirisha kwenda jijini Dar es Salaam mfanyabiashara wa mtandaoni, Jenifer Jovin maarufu Niffer baada ya kujisalimisha polisi jana.
Mfanyabiashara huyo alijisalimisha kwa Jeshi la Polisi jana baada ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuagiza Jeshi hilo kumhoji kwa kosa la kukusanya fedha za michango kwa ajili ya waathirika walioporomokewa na ghorofa Kariakoo jijini Dar es Salaam bila kibali.
Pia, Soma:
- Jeshi la Polisi tayari limempata Niffer kwa kuchangisha michango ya wahanga wa Kariakoo
- Niffer atoa majibu baada ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kutaka akamatwe kwa uchangishaji wa fedha kwa ajali ya maafa Kariakoo
Jengo hilo liliporomoka Jumamosi Novemba 16, 2024 na kusababisha vifo vya watu 16, majeruhi 86 na uharibifu wa mali za mamilioni ya fedha.
Akizungumza leo Jumanne Novemba 19, 2024 jijini Dodoma, Kaimu Kamanda wa Polisi wa mkoa huo, Anania Amo amesema Niffer amekamatwa na polisi baada ya kujisalimisha jana.
“Alijisalimisha jana baada ya kumtafuta, tayari tumemsafirisha kwenda jijini Dar es Salaam,”amesema.
Credit: Mwananchi
Hirizi ya Biashara...!Hicho kidude hapo shingoni ni kitu gani?
Huyu binti nimetafakari alipoanzia nikaona ilikuwa hivi:Kutaka Kiki tu, kwanini asingetoa mchango yeye kama yeye?
Naona umefurahiiii sana. Halafu mfano wa eminem unafit wapi hapa, huoni kwenye link uliyotuma serikali yenye akili imesema iliachana na upelelezi juu ya suala hilo. Ama English ni tatizo babu? Bado nakusihi Leta mfano wa kisa kimoja toka nchi za wenzetu ili tujifunze.Nifurahi kwa kipi?? Kujifunza ku controll mihemuko ni jambo jema sana