Polisi wamsafirisha Niffer hadi Dar kutokea Dodoma baada ya kujisalimisha kufuatia agizo la Waziri Mkuu la kukamatwa

Nilichokiona ni tumeenda haraka sana, nafikiri Mkuu angesema tu wote waliochangisha wawasilishe kwenye kamati ya maafa. Nimeona dada alikuwa wazi sana kusema kiasi alichokipata hadi ule wakati.

Ila na yeye dada alikosea namna ya kuukabili huu upepo, sijui kile kitabu cha 48 Laws alichosema anakisoma kimemsaidia nini kwenye huu upepo. Au yalikuwa maigizo tu.
 
Amejichanganya sana hapa.
 
Naona umefurahiiii sana mkuu. Tupe kisa kimoja tu cha "nchi za wenzetu" kama hiki cha kwetu ambapo raia alifunzwa kwa namna hii.
 
Na wewe .....tumia logic basi.......yeye yupo Dodoma amekusanyaje pesa ya wahanga akiwa Dodoma....kama sio utapeli ni nini?😀
 
Tunajua kutumia miguvu mingi kwa masuala yasiyo ya msingi wakati wenzetu wanakata kauli chini ya kifusi kwakweli inaskitisha sana , narudia tena nchi hiyo ina laana flani hivi.
Wapi nguvu imetumika?........jiongeze wewe....maafa yapo Dar es salaam yeye yupo Dodoma anachangisha......huo ni utapeli 😀 😀
 
Ni upuuzi tupu.


A good Police Officer is only a dead Police Officer!


Mimi nilidhani Jeshi la Polisi limewafikisha Mahakamani Watu waliosababisha ajali hii ya kuporomoka kwa jengo na kuua Watu!
 
"Namuagiza waziri mkuu na hili nalo akaliangalie"
 
Kwahio tunatumia nguvu kazi, kodi zetu na muda wa kudeal na haya mambo ya maafa yamechukua second fiddle...

Haya mambo ni rahisi sana angepewa tu akaunti namba ya kuweka kwenye mfuko wa maafa akapewa shukrani zake na kuwaambia wengine ili kuepuka utapeli na wizi kama kuna kitu kama hiki wakifanye officially...
 
Kutaka Kiki tu, kwanini asingetoa mchango yeye kama yeye?
Huyu binti nimetafakari alipoanzia nikaona ilikuwa hivi:
1. Aliwaza peke yake "Ngoja nitume mchango kwa ajili ya maafa ya mporomoko wa Ghorofa Kariakoo.
2. Akamshirikisha mwenzi, " Nataka nitume hela kuchangia wenzetu waliobanwa kwenye vifusi Kariakoo. "
3. Mwezie akamuumga mkono.
4. Mwezie naye akamtaarifu jirani yake " jamani tunakusanya hela tuzitume Dar kwa walio athirika na maporomoko ya Ghorofa.
5. Wachangiaji wakaongezeka tena na tena na tena.
6. Awali alikuwa mmoja kwa nia njema baada ya muda wakawa wengi kwa nia njema kabisa.
7. Tatizo ni RUKSA HAWAKUPATA.
8. Bila shaka hela zote walizokwisha zichangisha wanazo wakizitoa zote bila kubakiza senti moja mmuachie hakuwa na nia mbaya.
9. Wakimtia ndani wakamfungulia mashitaka huyu binti watakuwa wamekosea kabisa moyo wa kujitolea utakuwa umefifishwa kwa amri ya serikali.
10. Binti kama alikusudia kuiba angefanya kimya kimya, kakini alijiweka wazi. " Tulipoona anachangisha bila kibali tusione yeye ni Mwizi" Binti asamehewe baada yabkuonywa hakuwa nania mbaya kwa mtazamo wangu.
 
Anaitwa binti, kwani hajaolewa na hana mtoto? Nifter kajipatia umaarufu zaidi kupitia janga. Wanamkamata kwani kuna kosa kukusanya michango kwa ajili ya wahanga wa janga hilo. Sasa kama serikali ilichelewa kufanya hivyo why wasamaria wema wasifanye hivyo? Itungwe sheria ya msamaria mwema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…