Bado sijaelewa kwanini wameiweka hiyo video ya mtu akifanya sex? Kuna uhusiano gani kati ya hizo clip mbili?Wengi wanadai boss wa hapo.ungeangalia video ungeona jinsi muhusika anavyotekodi hizo picha mjongeo Kwa simu.inaonyesha ni cctv ya eneo Moja.
Na ukiangalia vema mazingira yanafanana Kwa nje.
Na mi naona ni siku Moja Kwa maana polisi alifika eneo la tukio akaanza
na
matukio ya siku hiyo kurudi nyuma kidogo wakakutana na Hilo upande mwingine.