Polisi wamtia mbaroni anayedaiwa kuwa "Afisa Usalama" aliyemjeruhi raia kwa 'kitako cha bunduki'

Bado sijaelewa kwanini wameiweka hiyo video ya mtu akifanya sex? Kuna uhusiano gani kati ya hizo clip mbili?
 
Picha linaanza polisi wameficha wasifu wake. Wakati sio kawaida yao kuficha wasifu wa mtuhumiwa ikiwa pamoja na majina yake matatu na mahali anaishi na mzaliwa wa wawapi..,
Picha lingine hawajasema kesi inasikilizwa mahakama gani?,
 
Ila hii dunia yani mtu mzima unahangaika na madisco na ulevi hadi asubuhi, ndio shida za hela za bure unakuwa kama mwehu tu
Yale yale ya makonda naona sa hv jatupwa mji wa wachaga huko anahaha tu kakutana na tycoons wote wanabunduki asijixhanganye
 
Wengi wanaotumwa kuteka na kuua watu na hata kutisha watu humu JF wako hivyo, Ni Wajinga sana!
Aliniuliza wewe unasoma jf kwenye bus nikamwambia ndiyo ?
Nyie ndo mnamtukana mh? Nikamuuliza kiivipi?
Nitashuka na wewe tukapige story utanieleza.
Nikamwambia mm siyo mmiliki wa huo mtandao nitakueleza nn?
Tunawafuatilia kwa karibu nikamwambia sawa.
Kituo cha mbele akashuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…