Polisi wanaosimamia Sharia za kiislamu waondoka mitaani Iran baada ya waandamanaji kuchachamaa hawataki

Polisi wanaosimamia Sharia za kiislamu waondoka mitaani Iran baada ya waandamanaji kuchachamaa hawataki

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Sasa hivi wameondolewa mitaani sababu waandamanaji wasiotaka kuvaa ajabu wanawafanyia Fujo na kupigwa mawe nk

Sasa hivi hawapo mitaani kabisa .Wako tu Askari wa kawaida wa dini hawajulikani wamepotelea wapi!!

Watu sasa wanawake wengi wanatembea bila hijab mchana kweupe

Source: Aljazeera
 
juz nmeona mdada mbez makonde kavaa vzr mno kwa mujibu wa dini B , vidole tu ndo vinaonekana ila konda alikuwa anashika matako mara amshike kifuani nkawa nawashangaa mpk tunafika mwenge mdada akashuka , konda akanisogelea akasema hayo mavaz ni kichaka cha malaya usimuamin kila anaevaa hijabu na baibui

Sent from my SM-G6100 using JamiiForums mobile app
 
Wavaa rozari bhana Kuna baadhi yenu hamna kitu kichwani kabisa ...unapata wapi moral authority ya kukashfu Imani za watu...
 
But why the wazungu have not helped Muslim women about this for centuries.? This is their monumental emancipation of the Muslim women community
 
juz nmeona mdada mbez makonde kavaa vzr mno kwa mujibu wa dini B , vidole tu ndo vinaonekana ila konda alikuwa anashika matako mara amshike kifuani nkawa nawashangaa mpk tunafika mwenge mdada akashuka , konda akanisogelea akasema hayo mavaz ni kichaka cha malaya usimuamin kila anaevaa hijabu na baibui

Sent from my SM-G6100 using JamiiForums mobile app
Huyo konda ni sexual offender
 
Back
Top Bottom