Polisi wanaosimamia Sharia za kiislamu waondoka mitaani Iran baada ya waandamanaji kuchachamaa hawataki

Polisi wanaosimamia Sharia za kiislamu waondoka mitaani Iran baada ya waandamanaji kuchachamaa hawataki

Kuvaa hijabu ni sheria ya dini ya kiislamu(must) na Iran inaongozwa na sheria ya dini .Hivyo hao waandamanaji wanapoteza mda wao bure mwisho wa siku sheria itabaki pale pale na wao watabaki na majera au vilema vya kudumu.

Majeshi ya Iran yapo tayari kufa ili kuilinda sheria hio ya dini. Hapo polisi wakizidiwa nguvu itatangazwa Marshal law jeshi litasimamia kazi.
itakuwa ni aibu sana.kama.utaamua kuwaua Raia wa Nchi yako Kwa ajili ya Hijabu
 
Ndio ni hivyo lakini Upande Wa Kizungu ni mbaya Zaidí .
Watu wanaingia Kanisani na nguo fupi? Wanaume wanatamani na kusimamisha tupu zao kutwa nzima.
Wakifika Nyumbani wanakua wameshachoka. Matokeo yake wanakosa nguvu na kukimbilia kwenye baa.

Makristo Wa uongo ndio chanzo Cha uovu Duniani.
Kwani Waislam wakivaa nguo fupi inawadhuru nini Wakristo.

Au ni wahuni tu wanaotaka kuvaa nguo fupi na kuonyesha mapaja Yao Kwa Wanaume wasio Waume zao. Kueneza tu tamaa zao.

Wewe unataka ulinganishe nguo ya hijabu inayovaliwa Tanzania pasipo na Sheria ya kuzuia zinaa na Nchi za kiislamu. Kwa nini huzungumzee Saudi Arabia na kwingine ambako Sheria hiyo inafanya KAZI.?

Huoni Iran SIO Kwa SABABU Sheria hiyo ni mbaya Bali Kwa SABABU ya umaskini unasababishwa Vijana wengi kukosa ajira. Watu wakikosa ajira wanaiga mambo maovu ndio MAANA wanawake wanatamani kujiuza mitaani.

Huyo mwanamke Wa kibongo anayevaa hijabu kama kichaka ni kahaba tu mana Hao wapo wengi kutokana na Sheria ya mahusiano kuwa nyepesi isiyojali Heshima ya mwanamke mbela ya Wanaume wasio Waume zao. Matokeo yake Kwa Sasa Tanzania Kila mwanamke ni Wa yeyote alimradi akubali mwenyewe. Mwanaume au mwanamke unaweza ukazalisha wanawake Kijiji kizima Tena wakiwa ndani ya Ndoa Ndoa zao na hakuna Sheria inayokubana Labda wajitokeze wasamaria Wema wakuue.
Bangi mbaya sana
 
ila jamaa unapenda ligi za ubishi
Uchi kwa sisi waswahili ni ipi na kwa mzungu ni ipi!?..maana wazungu baba,mama,watoto wakiwa ufukweni wanakua na vichupi tu,kwetu sisi hapo tupo uchi na haiwezekani,Sasa uchi ni ipi!?
 
Wavaa rozari bhana Kuna baadhi yenu hamna kitu kichwani kabisa ...unapata wapi moral authority ya kukashfu Imani za watu...
Imani za kipuuzi hazina nafasi katika zama hizi.
 
Kwako wewe uchi ni wapi, wao wanaona mwanamke kuwa kichwa wazi yupo uchi.

Wengine kuanzia magotini ndio anahisi yupo uchi anavvaa gauni refu.
Wengine wanavaa vimini, mapaja nje wakiamini walilokuficha ndio uchi
Wengine wanavaa nguo mabega, maziwa, kwapa yanaonekana wanaamini walikoficha kupo uchi.
Wengine wanapiga kitop, tumbo lote nje wanaona wameshavaa.
Wengine wanavaa vibukta sawa na kichupi kabisa na hapo kimechanwa chanwa, bado wanaona hawapo uchi.
Wengine ni vichupi kabisa na visidiria.

Kwako avaaje ndio asiwe uchi?
Sawa, vipi mwanaume akiwa kichwa wazi ni uchi au siyo uchi? Kwanini iwe kwa wanawake tu na si wanaume!!!???
 
Kuvaa hijabu ni sheria ya dini ya kiislamu(must) na Iran inaongozwa na sheria ya dini .Hivyo hao waandamanaji wanapoteza mda wao bure mwisho wa siku sheria itabaki pale pale na wao watabaki na majera au vilema vya kudumu.

Majeshi ya Iran yapo tayari kufa ili kuilinda sheria hio ya dini. Hapo polisi wakizidiwa nguvu itatangazwa Marshal law jeshi litasimamia kazi.
Hayo yanawezekana kwa ngozi nyeusi tu, unadhani wenzenu wana akili matope kama nyie!? Rejea ya Tunisia, Egypt n.k
 
kwani Wewe unavaa chupi kama anayovaa Dada yako ?

Hii hijab haina maana yoyote sasa mwanamke kufunika kichwa maana yake nini na kwa nini mwanamme naye asifunike kichwa chake.
 
Sawa, vipi mwanaume akiwa kichwa wazi ni uchi au siyo uchi? Kwanini iwe kwa wanawake tu na si wanaume!!!???
Swali zuri sana, jibu lake linapatikana katika swali nililouliza.. Tafsiri ya uchi.

Wao kichwa cha mwanaune sio uchi ila mwanamke ni uchi na kinahitaji kustiriwa.

Nikusaidie jambo chief ni vile imezoeleka saana ila ilipaswa mwanaume ukiona unywele tu wa mwanamke usisimke sasa kwakuwa tushazizoea hakuna msisimko wowote najua utabisha, nakupa mfano kama wewe ni mtizama X zile x ukishazizoea hakuna msisimko tena mpaka uanze kuzisaka zingine konki, wakati mwanzo kitendo cha kuona cover lake tu ushadinda.
Zamani ukiona video vixen wamevaa nguo za ajabu utadinda ama kusisimka siku hizi tushazoea imekuwa sio kesi.
Movie za zamani zilikuwa na kijisehemu wanakulana mate, au wanaigiza kama wanabanduana fasta tu RUNGU KIPEPE hilo linatuna, siku hizi sio kiviile.
Kipindi watu wanaanza kuvaa nguo za ajabu ilikuwa ukiona mali unasisimka siku hizi sio kesi.

Ushawahi kaa sehemu hata miezi 6 bize tu, hakuna muingiliano na KE itoke ukutane na demu hata akikugusa bahati mbaya tu tayariii 😂
 
Hii hijab haina maana yoyote sasa mwanamke kufunika kichwa maana yake nini na kwa nini mwanamme naye asifunike kichwa chake.
Ungeisoma hata hiyo biblia yako ni kwanini mama maryam mama yake yesu naye pia alivaa hijab? ungeenda kuperuzi hilo andiko ukajua chanzo cha hijab na kwanini mama maryam alivaa, na kwanini hasa asili mwanamke kutakiwa kuvaa hijab

Ukija hapa kupinga na kukataa kitu bora uje na hoja sio moyo wako tu unavyokutamanisha kuandika kwasabab umejichimbia mahala na simu yako ya Tecno.
 
Habari bila picha/video clip sawa na takataka tu
 
Ungeisoma hata hiyo biblia yako ni kwanini mama maryam mama yake yesu naye pia alivaa hijab? ungeenda kuperuzi hilo andiko ukajua chanzo cha hijab na kwanini mama maryam alivaa, na kwanini hasa asili mwanamke kutakiwa kuvaa hijab

Ukija hapa kupinga na kukataa kitu bora uje na hoja sio moyo wako tu unavyokutamanisha kuandika kwasabab umejichimbia mahala na simu yako ya Tecno.
Hakuna popote ilipoandikwa kwamba ili mwanamke aingie mbinguni moja ya sheria ni yeye kuvaa hijabu na sio lazima kuvaa hijabu kisa Mariam naye alikuwa akiivaa.

Huwezi ukaniambia kwamba lazima nivae kanzu kisa Ibrahim, Musa na Bwana Yesu walikuwa wakivaa kanzu. Kuna mambo mengine yanahitaji akili ndogo tu, tusilishwe tu dogma kama wajinga.
 
Ungeisoma hata hiyo biblia yako ni kwanini mama maryam mama yake yesu naye pia alivaa hijab? ungeenda kuperuzi hilo andiko ukajua chanzo cha hijab na kwanini mama maryam alivaa, na kwanini hasa asili mwanamke kutakiwa kuvaa hijab

Ukija hapa kupinga na kukataa kitu bora uje na hoja sio moyo wako tu unavyokutamanisha kuandika kwasabab umejichimbia mahala na simu yako ya Tecno.
Kwahiyo kwa kuwa alivaa hijab ndio imeamriwa wote wavae? Mohammed hakupanda magari wala hakuwa na smartphone kwanini wewe unayo?
 
Back
Top Bottom