Ushoga na usagaji unamana gani!!?Hii hijab haina maana yoyote sasa mwanamke kufunika kichwa maana yake nini na kwa nini mwanamme naye asifunike kichwa chake.
Hii hijab haina maana yoyote sasa mwanamke kufunika kichwa maana yake nini na kwa nini mwanamme naye asifunike kichwa chake.
Uchi unaanzia wapi?..kwa mujibu wa nani?..wakitaka kutovaa hata nguo moja waruhusiwe?Masheria ya kipumbavu tuu ! Over 90 % ya wanawake walimwengu hawavai wanadhurika nini ? Useless religious law ! Wakataze watu kutembea uchi hilo la maana
kwamba huna hoja ya kutetea wanaume kuvaa hijab umeamua kwenda OP
Wewe ukimuona mwanaume kavaa hijabu akilini mwako itakuletea picha ipi!!!kwamba huna hoja ya kutetea wanaume kuvaa hijab umeamua kwenda OP
Sent from my SM-G6100 using JamiiForums mobile app
Unapenda sana hizi mada kila Nyuzi lazima uziingize hizi habari halafu unajiita Utamu si balaa hili
Pole kijanaUnapenda sana hizi mada kila Nyuzi lazima uziingize hizi habari halafu unajiita Utamu si balaa hili
Kawaulize waarabu chief ndio shughuli zao hizo. Kwani sodoma ilikuwa marekan au hapo mashariki ya kati.
Hii hijab haina maana yoyote sasa mwanamke kufunika kichwa maana yake nini na kwa nini mwanamme naye asifunike kichwa chake.
Sio biden ambae mpaka msemaji wake pale WH nimwanachama wahukoKawaulize waarabu chief ndio shughuli zao hizo. Kwani sodoma ilikuwa marekan au hapo mashariki ya kati.
waarabu ndio wanaoongoza kwa huo uchafu mkuu ndio maana wanajiwekea hizo sheria ndio resi chafu zaid. Wakafuata wagiriki
Huyo konda ni sexual offenderjuz nmeona mdada mbez makonde kavaa vzr mno kwa mujibu wa dini B , vidole tu ndo vinaonekana ila konda alikuwa anashika matako mara amshike kifuani nkawa nawashangaa mpk tunafika mwenge mdada akashuka , konda akanisogelea akasema hayo mavaz ni kichaka cha malaya usimuamin kila anaevaa hijabu na baibui
Sent from my SM-G6100 using JamiiForums mobile app