BonventureSr
JF-Expert Member
- Nov 16, 2023
- 879
- 1,432
Yaaan Kama IGP napita kwanza na RPC mapema kesho hayupo kazini kwake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nchi inahusika vip hapo, na wew mwenye ushahidi usio na shaka unatia huruma na kusikitika nyuma ya keyboard tu mrangi?🐒Wale walitumwa..kwa sababu hapa kuna kulindana na wanajaribu kuhamisha magoli
Mtoto wa watu ktmbw kaflwww ehh
Hii nchi hii kiboko kesi kama hii wanaitetea
Ova
Jambo ndio lishapindishwa kwa namna hiyo, pole yake binti yombo.Afande Aliyekuwa anaombwa Msamaha ni afande nyundo au 😂 Polisi kazi ngumu sana ukiwa na akili timamu. Hakuna jipya lakuendelea kutegemea
Ndio mambo yenu huko ukijaninihaki ya kijana victim inapotea hivi hivi maskini dah 🐒
huruma za mitandaoni haziwezi msaidia sana kule field ndrugu zango, tena katika masuala ya haki mahakamani 🐒
Nishakuambia,hapo wanalindana tu....ila bint hyo ndy kafanyiwa ukatili mwanangunchi inahusika vip hapo, na wew mwenye ushahidi usio na shaka unatia huruma na kusikitika nyuma ya keyboard tu mrangi?🐒
unaelewa kuna mambo yanahitaji ushahidi usio na shaka kwa mtu kupata haki yake, na sio huruma na hisia...Ndio mambo yenu huko ukijanini