Polisi: Wanaotuhumiwa kubaka na kulawiti ni kama wavuta bangi, hawakutumwa na Afande, yule dada alikuwa kama anajiuza
unaelewa kuna mambo yanahitaji ushahidi usio na shaka kwa mtu kupata haki yake, na sio huruma na hisia...

na hakuna haja kusingizia asiehusika kwa kushindwa kwao kuthibitisha unacholalamikia, lawama hazina msingi hazibadili wala kusaidia chochote šŸ’
Kwahiyo hao hawajavunja sheria yeyote hata kama hawakutumwa?
 
Nishakuambia,hapo wanalindana tu....ila bint hyo kufanyiwa ukatili
Hata ukimsikia huyo DPP sjui RPC
Wanavyosema,ohh wale walikuwa wavuta bangi yule dada kahaba
,wanaona sawa kwa ktendo hicho kufanyika


Ova
huna haja kuwaombea uovu huo mabinti wetu hata kidogo..
muhimu zaidi kwenye hili, jitokezeni kuthibitisha hizo huruma zenu binti apate haki yake na wahalifu wapate hukumu zao stahiki šŸ’
 
huna haja kuwaombea uovu huo mabinti wetu hata kidogo..
muhimu zaidi kwenye hili, jitokezeni kuthibitisha hizo huruma zenu binti apate haki yake na wahalifu wapate hukumu zao stahiki šŸ’
Kuna haja wa kuwaombea uovu mabinti zenu, ikiwezekana wapigwe mtungo na wavutabangi hata 100.

Mnakera sana wajinga nyie.
 
Ili uweze kuishi Tanzania kwa amani na furaha ni lazima uwe mtu mjinga mjinga hivi. Kwasababu hata ukiwa na hela na una akili timamu kuna mambo yatakuharibia furaha yako. Mambo kama haya ya mhanga kuanza kuitwa kahaba na mamlaka zinazopaswa kumsaidia.
uko sahihi sana. mimi naona hata kinyaa kuiandika tanzania kwa herufi kubwa.
 
Back
Top Bottom