Kwahiyo hao hawajavunja sheria yeyote hata kama hawakutumwa?
 
Nishakuambia,hapo wanalindana tu....ila bint hyo kufanyiwa ukatili
Hata ukimsikia huyo DPP sjui RPC
Wanavyosema,ohh wale walikuwa wavuta bangi yule dada kahaba
,wanaona sawa kwa ktendo hicho kufanyika


Ova
huna haja kuwaombea uovu huo mabinti wetu hata kidogo..
muhimu zaidi kwenye hili, jitokezeni kuthibitisha hizo huruma zenu binti apate haki yake na wahalifu wapate hukumu zao stahiki 🐒
 
huna haja kuwaombea uovu huo mabinti wetu hata kidogo..
muhimu zaidi kwenye hili, jitokezeni kuthibitisha hizo huruma zenu binti apate haki yake na wahalifu wapate hukumu zao stahiki 🐒
Kuna haja wa kuwaombea uovu mabinti zenu, ikiwezekana wapigwe mtungo na wavutabangi hata 100.

Mnakera sana wajinga nyie.
 
uko sahihi sana. mimi naona hata kinyaa kuiandika tanzania kwa herufi kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…