Kama alikuwa anajiuza watueleze ni kiasi gani cha fedha binti huyo alikubali kwa ajili ya kubakwa na vijana wengi hivyo?

Aisee
 
Regardless kama aliyoyaongea yalikuwa ya kweli au uongo ila RPC Mallya hakutakiwa kuongea aliyoyaongea especially this time!

Hawa viongozi sijui kwann huwa wanatanguliza utemi na ubabe badala ya busara
Unafikir waliposema kazi ya upolisi ni kazi ya laaaana walikua na maaana gani
 
Kwa hyo kurasaa ndio ishafungwa Kwa namna hyo 🙆🙆
 
Yule dada akijichanganya kukubali alijiuza maana yake anajitia hatiani na yeye mwemyew. Kaingiliwa kinyume na kasambaza picha za ngono atakula kama miak 15 hivi. Asijichanganye
Hakuna namna yoyote ya kuthibitisha kuwa mtu anajiuza. Kuingiliwa kinyume na maumbile atasema haikuwa kwa ridhaa yake, na video hakusambaza yeye.
 
Yule binti kama victim anahitaji mwanasheria binafsi tena anayejiamini kweli, naona polisi wameamua kumuangushia jumba bovu.
 
Wamelindana Kwa sababu wa bakaji ni maafisa wa polisi.Nimeamini polisi wako juu ya sheria
 
Hakuna namna yoyote ya kuthibitisha kuwa mtu anajiuza. Kuingiliwa kinyume na maumbile atasema haikuwa kwa ridhaa yake, na video hakusambaza yeye.
Ah wapi.. kama alikuwa anajiuza kurekodiwa alitegemea video ikatumike wapi kama sio kuntangazia biashara? Kafanya matangazo ya biashara yake. Hil pia ni kosa kisheria... hawa madogo wasicheze kabisa na sheria mana ukweli uko dhahir. Anaambiwq aombe msamaha na kaomba! Atawez kuelezea msamaha ule wa nn?

Hapo ataingia kwenye kosa lingike kisheria kudanganya umma tena mahakamani.. ibara ya ngapi ile? BICHWA KOMWE -
 
Ndugu zangu Watanganyika,

Tusimalize maneno. Tujikumbushe hili suala la kubakwa lilitendeka mwezi April likaja kutrend mwezi August, kama kweli alibakwa kwanini muda huo hakufika police kushitaki. Mimi hili suala nishalitilia shaka hata kipindi habari zake zinaanza kutoka.

Huyu Binti hajabakwa ni kama alitaka mwenyewe. Wale vijana ni kama walimlipa ili kumpiga mande na kukubaliana kurecord hivo. Kujamiiana kikahaba lazima lugha chafu na kaubabe kapite, wale hawakuwa wanafanya sex kistaarabu.

Tujiulize maswali, yule Binti aliingiaje geto kwa wale vijana, na wale vijana wambake yule Binti Kwa sababu zipi na wanawake wamejaa mjini. Unaweza japo kuona muonekana wa yule Binti unaoneka sio wa Binti mwenye maadali mema.

Jeshi la police lina intelejensia kali, halishindwi kupata ushahidi mdogo kama huo, naamini police wanaona kama Binti alilidhia mwenyewe Sasa hapo alibakwaje?

Pia soma>> Polisi: Wanaotuhumiwa kubaka na kulawiti ni kama wavuta bangi, hawakutumwa na Afande, yule dada alikuwa kama anajiuza
 
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Theopista Mallya amesema jalada la kesi ya vijana watano wanaotuhumiwa kutekeleza tukio la ubakaji na ulawiti wa binti anayedaiwa kuwa mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam limekamilika.

Vijana hao wanaodaiwa kutumwa na afande, wanne kati ya sita wameshakamatwa ambao walipanga na kutekeleza uhalifu huo. Tukio hilo liliibua mijadala mikali maeneo mbalimbali, ikiwemo mitandaoni.

Ukamataji huo umewagusa pia watu wengine wanane, kati yao wakiwemo wanne waliokamatwa kwa kukiuka sheria na kusambaza picha mjongeo (video) za tukio hilo kwenye mitandao ya kijamii, zilizoonyesha tukio hilo la ukatili.

Jana Jumapili, Agosti 18, 2024, RPC wa Dodoma, Theopista akizungumza juu ya kinachoendelea kuhusu watuhumiwa hao, alisema katika uchunguzi Jeshi la Polisi lilibaini vijana hao waliotuhumiwa kwa madai ya kutumwa, walikiri kutoagizwa na askari kama ilivyoelezwa.

“Kilichobainika vijana hao hawakutumwa na askari, walikuwa kama walevi na wavuta bangi tu, lakini yule dada alikuwa kama anajiuza ‘kahaba’.”
“Neno askari ni General (jumla) kwa kuwa hata mgambo ni askari, hivyo hatuwezi kulifafanua zaidi kwa kuwa haikubainishwa wazi na tunaliacha hivyo” alisema Kamanda huyo.

#KitengeUpdates

 
Jeshi linatafuta njia ya kujisafisha inavosemekana wale vijana walikua maafande wengine kutoka jwtz wengine jkt walitumwa Na afande Wa kike Na Uyo Mume wa afande naye Ni mwanajeshi wote maafande...hiki kitendo kimelichafua Sana jeshi ndomana wanakanusha
 
Keyword "KAMA", hilo neno tayari limeshabeba walakini na sheria haitakiwi kuwa hivyo. Anything that can't be proven beyond reasonable doubt, has loopholes.
 
Hivi mkuu wewe waona ni jambo rahisi mwanamke abakwe aende mahakamani? Mabinti wengi tu wanabakwa hawaendi mahakamani kwa kuogopa aibu na kuwa judged na jamii kama wewe unavyofanya hapa. video inajieleza kabisa kuwa kile kitendo alikifanya bila ridhaa yake, video inajieleza kama walikuwa wakimpa adhabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…