Lastmost
JF-Expert Member
- Jan 30, 2022
- 802
- 919
Tema mate chini,nyuki Ni balaaYani natamani na kuomba hili zali la kushambuliwa na nyuki lije linitokee yani huo mkono ntakavyoutembeza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tema mate chini,nyuki Ni balaaYani natamani na kuomba hili zali la kushambuliwa na nyuki lije linitokee yani huo mkono ntakavyoutembeza.
Hadi nimecheka,ukawapunguzia bodaboda msalanyuki ni wapumbavu walishawahi kunidhalilisha katikati ya mji
walinishukia toka juu jengo nikakumbuka ile mbinu ya kulala chini ili wapite bhana kumbe walikua siwapitaji niliona swarm of killler bees linanishukia pale mavumbini nilipojilaza nikaona kukimbia napo ni mbinu ya kivita nilitoka nduki nikiwalenga bodaboda waliokua karibu yangu lengo likiwa kuwagawana nyuki ili mbinu ilifanya kaz nilivowapita tu wale bodaboda mimi nikapumua wana wakaanza kupambania uhai wao
Ili iweje?!!!Hariri kabla ya kupost
Ili upunguze makosa ya kiuandishi.Ili iweje?!!!
alisaula!? 😁Umenikumbusha tulikuwa kwenye harusi moja Malangali shooter wa video akaenda sehemu ili apate picha nzuri za maarusi wakitoka kwenye gari kuingia kanisani, kumbe chini kwenye majani kuna siafu, bila kujua ametoka hapo kaingia kanisani wakaanza kumtafuna ndani kwa ndani akatelekeza camera kwenda kutafuta washroom akakuta kumefungwa, mwisho akakubali liwalo na liwe yaishe
TraitorYaweza kuwa kweli.
Uhusiano wa polisi na binadanu ni kama haupo tu yaani siku hizi
Polisi ni vibaka waliorasimishwa. Naongelea kwa matendo yao kwa ujumla wake. Kuingia mahabusu bure kutoka mpaka hela hata kama huna kosa 🤔Yaweza kuwa kweli.
Uhusiano wa polisi na binadanu ni kama haupo tu yaani siku hizi
Mbele ya kutafunwa na siafu kwanini asisaulealisaula!? 😁