Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 4,285
- 4,074
..Polisi walisema hawawezi kuchunguza kwasababu wameshindwa kumhoji Lissu.
..Na kisingizio cha kutokumhoji Lissu ni kwasababu alikuwa nje nchi.
..Sasa Lissu amerejea Tanzania. Natarajia jeshi litamhoji na kuwakamata mara moja waliohusika.
..Au wataleta kisingizio kingine?
Kwani ni mara ya kwanza Lissu kuja nchini toka lilipotokea tukio lile? Si alikuja na akagombea Urais, mbona mnasahau haraka? Kama hakuhojiwa kipindi kile unadhani kuna sababu gani ya kuhojiwa sasa? Hilo swala ndio imetoka...limezikwa na walioenda zao..