Polisi wathibitisha Katibu wa Masanja kajinyonga. Mke wa Masanja alienda kwake kumuonya asiwe anamtumia meseji za mapenzi

Hiyo statementni Kwa watoto wadogo kama wewe. Muliro akija kutoa taarifa hiyohiyo kwa watu wazima hatasema hivo.
 
Daaa hali inatisha ningekuwa mime muumini wa masanjaa, hivi sasa ningekuwa nimeloana machozi kama mama mchungaji kaliwa sasa wifee s atakuwa kaliwa hadi
 
Kweli kabisa. Hata kichaa hawezi elewa hiyo logic. Yani nitongoze mke wa mtu anikatalie niende nikajinyonge!!!?
pumbav.

Hela Inaweza Kutumika Kuficha Ukweli…
Ila Roho alioiumba MUNGU Kama Binadamu ameiondoa Ipo siku Itamdhuru anaeficha Ukweli Kama Upo kwa sababu Yeyote ile.
 
Kwanini asingemuita kwa Wazee wa Kanisa na kumkanya?

Kwanini asingemsema kwa mme wake?

Kwanini asingempuuza tu?


Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Jamaa kaoa lakini kajiua kwa sababu ya mke wa mtu mhhhh
Utata unaanzia hapo Kama polisi wapo serious! Polisi ikamhoji mke, masanja na huyo mwanamke na ikiwapendeza mke wa marehemu ahojiwe pia. Taarifa Yao haijakaa kisayansi! Wakizama deep Kuna watu watapewa murder na dunia itahuzunika!
 
 
Eeeh hii point

Inafikitusha.. Huenda kweli muuji alijua mahusiano yao, na kutakua kutawanyisha ndoa ya askofu... Ndio maana hata ujumbe wa katibu uliweka wazi kuwa wamekua na mahusiano.. Na sasa maza anakacha.. Inge kuwa askofu anahusika.. Huenda angeedit huu ujumbe ili kulinda ndoa.. But was out of his control... Muuaji alitaka kumharibia kabisaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…