Polisi wathibitisha Katibu wa Masanja kajinyonga. Mke wa Masanja alienda kwake kumuonya asiwe anamtumia meseji za mapenzi

Good question mkuu wakikujibu hili Nami nipe taarifa, why mwili uzikwe kwa haraka hivi?,hii ni cold case tayari
Tanzania hakunaga forensic na utaalamu wa haya mambo ya homicide, issue zinapigwagwa kienyeji tu , sasa jiulize mwili ushazikwa mara hii tu
 
watakuuwa weww kwanza nakukutombea watakutombea mtu anaegombana kwa ajili kafumania ni mshamba
Tangia lini 'Ngala Ngala' kama Wewe ukawa Mjanja? Mliokuja Dar es Salaam na Malori ya Mkaa, Mbuzi na Ng'ombe kama Wewe mkishauzoea Mji mnakuwa na Jeuri mno.
 
Hahahhaha. Ebwana eeh. Nyoka hanaaa.... Hahahahha.. hatar sana we mkuumaalimu
 
Kwa hiyo huyu mke wa masanja ataendelea kuishi na masanja kwa hali hii? Hapa labda masanja ajitoe ufahamu na kuinesha dunia kuwa ana uvumilivu na anasamehe kwa upendo mkubwa.
Sijaona kosa la mke wa masanja .. binafai.. hakuna mwanamke asietongozwa.. sasa mnamlaumu yeye anakosa gan?. Katongozwa kakataa bwege limejiua..
 
Inawezekana Kweli masanja kamuua baada ya kugundua jamaa anamgongea alafu akaandika meseji kutengeneza mazingira jamaa aonekane kajiua, haiwezekani mtu ujiue kisa mke wa mtu na wakati mwanzo ulikua unakula ukijua kabisa siyo mali yako
Kwel kabisa. Haiingii akilin.. yaan kwa akil ya kawaida . Utongoze. Ukataliwe ujiue.. hii inaonekana mwamba alijulikana anakula mzigo.. mkandamizaj akammaliza akachkua simu ya marehem akapost mtandaon.. kwa akil za polis wa kibongo kesi ishaisha hyo
 
Kwenye biashara ya madawa ya kulevya (cocaine/ heroine), wakiku suspect tu kuwa unaweza kuwa ponzesha wakakamatwa lazima wakuue.

Masanja hana kanisa wala siyo Mchungaji Bali ni muuza madawa ya kulevya tu aliye karibu na Serikali. Kamuua tu huyo katibu hakuna cha mapenzi wala nini
 
Nyie si mnasemaga ni sahihi mtu akimfumania mtu na mke wake aadabishwe?
Mbona leo mna mkana mwenzenu masanja? (kama ni kweli anahusika).
Masanja hatoboi hii kesi watu washaweka pesa za kumframe .. yeye utajir alioupata wa siri ndo huu unamtafuna. Kama alibeba sembe halaf akatokomea nayo akawa bilionea sasa waliolizwa wamekuja kivingne.. au kama watu waliwekeza pesa kwake halaf yeye akadhulum na kuwa tajir na kujificha kwenye kivul cha uchungaj. Sada wamekuja kivingne na watamframe hii kesi hachomok. Nakaaa paleee
 
Ukisema wamemframe nakubali.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Rose nimesoma naye Sasa uliposema mtu mzima umenitia unyonge ina maana na Mimi ndio nimekuwa mtu mzima πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ anyways nimeshazeeka hata hivyo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kama una 40 plus wewe ni mtu mzima kakaπŸ˜…πŸ˜…
 
Kwel kabisa. Haiingii akilin.. yaan kwa akil ya kawaida . Utongoze. Ukataliwe ujiue.. hii inaonekana mwamba alijulikana anakula mzigo.. mkandamizaj akammaliza akachkua simu ya marehem akapost mtandaon.. kwa akil za polis wa kibongo kesi ishaisha hyo
Hakuwepo nchini hiyo simu aliichukua saa ngapi?
 
Polisi wamemfichia tu taarifa ili kulinda utu na image yake masanja mbele ya jamii...ila kiukweli those two walikuwa na mahusiano ya kimapenzi, kama polisi wataamua kuachia mfulululizo wa mazungumzo ya sauti na sms kati ya marehemu na huyo mwanamke ,huyo masanja atabaki mdomo wazi.

Ila mwamba alifeli , why ajiue kwa ajili ya ****?? Angeendelea kukausha tu, huyo mwanamke angamtafuta mara moja moja na kumgawia uroda.

Mwanamke ukishamvua chupi huwa hana ujanja wa kukwambia kuwa mmeachana unless uwe umemkera vp sijui. Angecheza na tu na saikolojia ya mwanamke kumuektia kuwa anampenda sana mwanamke aliyemuoa halafu angeona kama huyo mke wa masanja hajamtafuta ampe mbususu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…