4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Nchii hii police mnaenda itumbukiza shimoniKamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema wanawashikilia watu 14, wakiwemo mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe, Makamu Mwenyekiti-Bara, Tundu Lissu na mwenyekiti wa chama hicho kanda ya Kaskazini, Godbless Lema.
Muliro amesema watu hao wamekaidi amri halali ya Polisi ya kuacha kushiriki maandamano, jijini Dar es Salaam na mahojiano dhidi yao yanaendelea.
View: https://www.youtube.com/watch?v=KTtAFvAo21Y
Polisi walishasema hayo sio maandamano ya amani, mbona maandamano yale mengine yalifanyika na mkasindikizwa na hao hao polisi.🤔😓sasa maandamano ya amani yanawanyima nini wakuu?
Kwa mujibu wa PGO na Kiapo cha Jeshi la Polisi Afande Muliro yuko sahihi lazima alinde kiapo chake. Hata hivyo wanasiasa ndio wanasababisha Jeshi la Polisi lisiaminike hasa kwenye suala la utekaji. Naamini watachukulia hao waliowakamata wanaomboleza kutokana na kufiwa na kupotelewa na ndugu zao na hadi sasa Polisi hawajasema wapo wapi ili hatima yao ijulikane. Kijumla Jeshi la Polisi lipongezwe kwa jinsi walivyowakamata watu kwenye tukio la leo kwa weledi.Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema wanawashikilia watu 14, wakiwemo mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe, Makamu Mwenyekiti-Bara, Tundu Lissu na mwenyekiti wa chama hicho kanda ya Kaskazini, Godbless Lema.
Muliro amesema watu hao wamekaidi amri halali ya Polisi ya kuacha kushiriki maandamano, jijini Dar es Salaam na mahojiano dhidi yao yanaendelea.
View: https://www.youtube.com/watch?v=KTtAFvAo21Y
Wewe sio tu mjinga bali ni juha. Maandamano yanalindwa. Hii Tanzania hakuna kitu watafanya hao waandamanaji zaidi ya kujichosha na mabango mwisho wanaenda kulala jioni.hao wanatakiwa waminywe sana mbupu zao siku nyngine wasirudio huo ujinga
hapo ndipo wanazidi kudhihirisha kuwa waliotekwa kuna kitu hakipo sawa kwa upande waoKamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema wanawashikilia watu 14, wakiwemo mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe, Makamu Mwenyekiti-Bara, Tundu Lissu na mwenyekiti wa chama hicho kanda ya Kaskazini, Godbless Lema.
Muliro amesema watu hao wamekaidi amri halali ya Polisi ya kuacha kushiriki maandamano, jijini Dar es Salaam na mahojiano dhidi yao yanaendelea.
View: https://www.youtube.com/watch?v=KTtAFvAo21Y
hasa Lema ilikua ni Lazima aandamane na akamatwe, ili akiachiwa apate kisingizio cha maisha yake kua hatarini na kupata kibali cha kuishi uhamishoni ughaibuni, akaungane na familia yake ambayo kwasasa ipo huko..Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema wanawashikilia watu 14, wakiwemo mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe, Makamu Mwenyekiti-Bara, Tundu Lissu na mwenyekiti wa chama hicho kanda ya Kaskazini, Godbless Lema.
Muliro amesema watu hao wamekaidi amri halali ya Polisi ya kuacha kushiriki maandamano, jijini Dar es Salaam na mahojiano dhidi yao yanaendelea.
View: https://www.youtube.com/watch?v=KTtAFvAo21Y
Sio tuminye ya kwako.......kwa kuwa mjinga miaka yote🤔😓sasa maandamano ya amani yanawanyima nini wakuu?
Hii nchi ni Chanel ya Cheka plus 😂Kama Lissu wamemkamatia nyumbani kwake hapo wanasemaje amekaidi? Hili Jeshi ndiyo linataka liaminike na watu kweli?
Itakusaidia nini mwisho wa siku.!!hao wanatakiwa waminywe sana mbupu zao siku nyngine wasirudio huo ujinga
Kama sijasahau nauri ya kurudi nchini ulimtumia wewe.hasa Lema ilikua ni Lazima aandamane na akamatwe, ili akiachiwa apate kisingizio cha maisha yake kua hatarini na kupata kibali cha kuishi uhamishoni ughaibuni, akaungane na familia yake ambayo kwasasa ipo huko..
Infact,
kwasasa Lema anaishi maisha magumu na ya fedheha sana kwa sasa. Ni ndugu wenye Imani tu ndio wanamsitiri but kiukweli ni choka mbaya 🐒
FactPolisi walishasema hayo sio maandamano ya amani, mbona maandamano yale mengine yalifanyika na mkasindikizwa na hao hao polisi.
Acheni kujitoa akili, asubuhi na mapema raia wapo kwenye biashara zao wanapambana.
Haya mambo ya kuondoa serikali kwa njia ya maandamano hayatakiwi kushirikisha chama cha siasa, bali n wananchi wnyw kuamua kuiondoa serikali.
Wakiminywa kende mama yako starehe utampa wewe?hao wanatakiwa waminywe sana mbupu zao siku nyngine wasirudio huo ujinga
Hawa polisi ni wendawazimu. Matamko ya viashiria vya uvujifu wa amani ni yapi? Na kwanini hayo matamu yaaminiwe kuliko matamko mengine yanayo sema ni maadamano ya amani?Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema wanawashikilia watu 14, wakiwemo mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe, Makamu Mwenyekiti-Bara, Tundu Lissu na mwenyekiti wa chama hicho kanda ya Kaskazini, Godbless Lema.
Muliro amesema watu hao wamekaidi amri halali ya Polisi ya kuacha kushiriki maandamano, jijini Dar es Salaam na mahojiano dhidi yao yanaendelea.
View: https://www.youtube.com/watch?v=KTtAFvAo21Y
Kunavitu polisi wanasema ambavyo hata mtoto akisikia anajuwa hawana kitu kichwani za ya kujuwa kuvaa uniform . Hivi ni sheria ipi inayo wapa polisi kukamata mtu kwa kosa la kutowa tamko lenye viashielia vya uvujifu wa amani?Nchii hii police mnaenda itumbukiza shimoni
asingekua na nauli angerudishwa kwa lazima na nchi husika..Kama sijasahau nauri ya kurudi nchini ulimtumia wewe.
😂😂😂 kazi ya jeshi la polisi ni kulinda Raia na mali zao.Hawa polisi ni wendawazimu. Matamko ya viashiria vya uvujifu wa amani ni yapi? Na kwanini hayo matamu yaaminiwe kuliko matamko mengine yanayo sema ni maadamano ya amani?
Kunavitu polisi wanasema ambavyo hata mtoto akisikia anajuwa hawana kitu kichwani za ya kujuwa kuvaa uniform . Hivi ni sheria ipi inayo wapa polisi kukamata mtu kwa kosa la kutowa tamko lenye viashielia vya uvujifu wa amani?