Polisi watoa tamko maandamano ya CHADEMA Dar, Tumemkamata Mbowe, Lissu, Lema “Hawajatekwa”

Ni swala mda tu ,police watalitumbukiza taifa shimoni, wafungwe break , aya mambo ya police hata Jw wenda wanayachukia sana na hakuna binadam mwenye akili hawezi kuyachukia , police ya tz imekua na kiburi sana , imeanza jiona ndo kila kitu ndani ya nchi ,hii sio sawa hata kidogo
 
Nicole Mbowe tumeona amekamatwa,na Afande Muliro anasema Nicole hayuko kwake.
Hapo vipi tena?
 
Hadithi nyingi za Mtume Muhammad (SAW) zinatilia mkazo hatari ya kutokuwa na uadilifu katika kutoa hukumu.

Katika Hadithi iliyopokewa na Imam Muslim, Mtume (SAW) alisema:“Hakika waamuzi ni wa aina tatu: mmoja atakuwa Peponi na wawili watakuwa Motoni. Yule aliyehukumu kwa haki na kwa ujuzi atakuwa Peponi. Yule aliyehukumu bila ujuzi, na akaonea katika hukumu, atakuwa Motoni.”
(Sunan Abu Dawood, Hadithi 3573)

Hadithi hii inaonyesha kwamba mahakimu ambao hawakufuata haki wataadhibiwa vikali kwa dhuluma zao. Mwenyezi Mungu atahukumu kwa haki kamili, na wale ambao walikiuka haki duniani wataadhibiwa vikali kwa makosa yao.Kwa hivyo, katika Siku ya Kiyama, mahakimu na wale wenye mamlaka watapata hukumu ya haki kwa mujibu wa matendo yao, na wasio waadilifu watawajibishwa kwa dhuluma zao.
 
Amri halali ya kuvunja katiba -- Polisi wapelekwe shule angalau basic!
 

Hii nchi kwa kweli inapitia kipindi kigumu sana. I can imagine by next year itakuwaje .... CHURA itabidi azibuliwe masikio kwa kelele za mbwa!!
 
POlisi wameona kuna viasiria vya uvunjifu wa amai hivyo waayo mamlaka ya kuzuia msandamano hayo.

Ingekuwa hawana mamlaka basi sheria isingewataka waandamanaji kwenda kutoa taarifa polisi.
Mawazo hewa kabisa haya.
 
Punguani mkubwa. Hujielewi, hujitambui.

You worth nothing in your family, in this globe, even in hell.
hao wanatakiwa waminywe sana mbupu zao siku nyngine wasirudio huo ujinga
 
Lazima tubinye na kuvuta kende zako barabara. Kumbaf
Unaishi maisha ya taabu na hatia sana, huwezi ponea kwangu shenzi kabisa, I can guess "Wewe ni mwizi na mbakaji na muuwaji na una vimelea vya ushoga, Nina kuonya mpumuliwaji wewe unayejificha nyuma ya siasa achana na comment yangu take ur own path with ur fellow gabbies...f*k
 
Tatiz
POlisi wameona kuna viasiria vya uvunjifu wa amai hivyo waayo mamlaka ya kuzuia msandamano hayo.

Ingekuwa hawana mamlaka basi sheria isingewataka waandamanaji kwenda kutoa taarifa polisi.
o lako inaonekana una uelewa mdogo sana. Sijui ni tatizo la kuwa na akili ndogo, au ni uwezo mdogo wa kutafuta maarifa.

Hutakiwi kuhisi, sheria imetamka wazi kwa nini unatakiwa kutoa taarifa polisi, na polisi wanatakiwa kufanya nini baada ya kupewa taarifa

Lakini kwa sababu polisi wengi ni akili kibaba kama yako, wanatengeneza tafsiri zao ambazo hazipo kisheria. Ndiyo maana hakuna hata kesi moja inayohusu maamdamano, polisi waliwahi kushinda.
 
Hawastahili dhamana kwa sasa maana wanachi wapenda amani tuna hasira na hawa wahuni
 
Mimi ni muumini wa ukweli na haki. Ulichosema Lema kuchoka kiuchumi sikubaliani nawe. Lema amekuwa mbunge miaka 10 mfululizo, umesema familia inaishi nje (Canada) uwekezaji wake hata kama ni wa kufikirika hawezi kuchoka kiasi cha kuhitaji msaada wa yeyote. Unaelewa dola ngapi anaingiza huko nje kupitia familia yake ? Hapa nchini unaelewa wanawekeza nini na wapi kupitia pato la familia iliyoko nje ? Tunalokubaliana ni kwamba yeye ni mwanasiasa. Anaweza kutumia mbinu zozote kujitangaza. Na mbinu za kujitangaza zaweza kuwa mbaya au nzuri. Mwanasiasa anaangalia gape na udhaifu wowote wa mpinzani wake ili atokezee kwa watu.
 
hao wanatakiwa waminywe sana mbupu zao siku nyngine wasirudio huo ujinga
Unalotaka halitofanyika maana wameshatangaza kukamatwa. Tofauti na wengine haw ani public figures, na polisi wanajua implication zake kisheria
 
Haha ....mimi navuta kende zako tu. Na meno makali. Mpaka ujamber
 
nadhani ili akaishi kwa amani ughaibuni, ni vizuri Lema akatumia njia zitakazomfanya akaishi huko kwa uhuru na amani zaidi. Hizi za kisiasa na za fedheha namna hii, sio muafaka kwa mtu mwema na alie elimika.

hata hivyo,
huenda tabia za kihalifu wakati anakipiga ngeta malori ya watu kipindi hicho, bado zinamzonga, na hivyo anaamini kwamba, ili ukaishi ughaibuni lazima nchini kwako uondoke kwa shari...

Infact,
tabu na ugumu wa maisha ya kiuchumi, anyopitia sasa, hata kwa kumtazama kwa macho tu, unaweza kubaini hali anayopitia. huhitaji kubishana kwenye hilo 🐒
 
Ninamjua Lema tangu siku ya kwanza anaapishwa Mbunge. Kufulia kiasi unachotutangazia sikubaliani nawe. Bahati mbaya mie sio mwanasiasa na wala sifikirii kuwa. Siko hapa kumpamba mtu au kumchafua. Lets call a spade,, a spade and not otherwise. Siasa zao haziniongezei cent kwangu nikizembea kutafuta.
 
Siachiii.....navutaa
Endelea kuvuta taratiibu naona anavyorembua akifurahia malezi ya dumejinga-nyoko likiunguruma kama beberu zee lisiloweza kudindisha mpaka lipewe lilambe na kuchokonolewa tako ndipo kibamia legelege kipige miayo ya uchovu...anewei endelea kuvuta ndugu zako wengine wanangoja miujiza ya mvuto Kani.
 
Basi bana,
ila muungwana anapitia kipindi kigumu mno, na inafaa apambane kwa bidii kidogo, utetezi wako utamzidishia tu maumivu zaidi 🐒
 
Basi bana,
ila muungwana anapitia kipindi kigumu mno, na inafaa apambane kwa bidii kidogo, utetezi wako utamzidishia tu maumivu zaidi 🐒
Simtetei Lema hanijui jina kazi wala nini, ila namfahamu tu. Yanayomkumba ameyachagua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…