Nguvu ya Ajabu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2015
- 546
- 451
Kwan hao ni raia au ni nyumbu. Raia mbona wako poa tu wanaendelea na kazi zao.Kuna siku raia watasema basi.... inatosha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan hao ni raia au ni nyumbu. Raia mbona wako poa tu wanaendelea na kazi zao.Kuna siku raia watasema basi.... inatosha.
Unapiwaita wanadamu nyumbu unamjumuisha na Mama yako na baba maana binadamu siyo nyumbuKwan hao ni raia au ni nyumbu. Raia mbona wako poa tu wanaendelea na kazi zao.
Sasa tufanyeje mkuu?Siyo kwamba watu hawatakiwi kukutana. Ni wakati wa kupiga marufuku vyama vingine vya siasa tofauti na CCM maana inaelekea CCM inataka ibaki peke yake kwa nguvu ya dola. Maana kama lingekuwa suala la kukutana tu mbona wanaCCM wao wanakutana, na hayo mahafali yamefanyika? Nimesikia jana CCM wametangaza kufanya mkutano mkuu maalum mwezi ujao tarehe 23 wakati tumeambiwa mikutano ya kisiasa imepigwa marufuku. Hapa utasema nchi hii ina uongozi?
Za mwizi ni arobaini tuMkuu hata hapa chuoni wamefika, wameingia chuoni Mwenge, wamezunguka ndani tunawaangalia tu maana wanafunzi wengi hawakuwepo, wamekaa kama dakika ishirini hivi wakaenda zao, Yaani nimeshindwa hata kuelewa tunakoelekea siko sasa.
Polisi wawili tu wanafunzi wanawakimbia Watanzania nao tumezidi uoga