njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 13,144
- 6,942
CCM wakifanya wanaruhusiwa lakini CHADEMA tukifanya tunazuiwa na polisi huu uvumilivu utafika mwisho wake View attachment 357967
Mkuu issue simple ni kuomba kibali basi.. Issue yoyote yenye mrengo wa kisiasa omba kibali ! Ukishanyimwa ndio uanze kalalamika...