Manuscript
Member
- Jun 5, 2016
- 42
- 27
Kiukweli nimeshangazwa sana na muendelezo huu wa jeshi la polisi kuzuiya mahafali ya CHASO jana UDOM na leo jijini Moshi.
Kiukweli nikiwa kama mwana UVCCM tena mkereketwa sijafurahishwa na ukandamizaji huu wa hali ya juu unaofanywa na askari wetu, kwani kawaida hata sisi UVCCM huwa tunamafali yetu kila mwaka.
My take: Najua "mnapokea oda kutoka juu", lakini jaribuni kushirikisha na akili zenu,huku mkae mkikumbuka kuwa unapokula na kipofu siku zote, jitahidi usumshike mkono.
Leo mmezuiya mahafali yao, je na kesho mtazuiya na ya UVCCM??
Kiukweli nikiwa kama mwana UVCCM tena mkereketwa sijafurahishwa na ukandamizaji huu wa hali ya juu unaofanywa na askari wetu, kwani kawaida hata sisi UVCCM huwa tunamafali yetu kila mwaka.
My take: Najua "mnapokea oda kutoka juu", lakini jaribuni kushirikisha na akili zenu,huku mkae mkikumbuka kuwa unapokula na kipofu siku zote, jitahidi usumshike mkono.
Leo mmezuiya mahafali yao, je na kesho mtazuiya na ya UVCCM??