Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivuli chake ni kipi?Kwa nini serikqli ya magufuli inaogopa kimvuli chake
Wiki mbili zilizopita ccm Dar es salaam walifanya mahafali ya wahitimu wa vyuo vikuu dsm na mgeni rasmi alikuwa JK, tena walifanyia sehemu ya wazi kabisa ambayo si ndani., police hawakutawanya watu!! Je hazikutumika fedha? Mahafali Iringa hazikutumika fedha? Yaani ukishakuwa ccm bila shaka unakuwa na akili za nzi au mende a.k.a Kilaza cubic...Hatuwezi kuwa na nchi watu wanajfanyia mambo wanavyotaka,safi sana polisi haiwezekani watu wajenge nchi wao wafnye sherehe za kuchezea hela wakati huu n muda wa kubana matumizi wanashndwa kuiga vijana wa buku saba.
kwani leo mkulu yupo kanisa gani?
Naona kwa mbaaali ukweli wa maneno haya.... Tazama ziara za kwanza, Rwanda na Uganda.. Utapata maono ya hatari tuliyonayo... Hebu tujiulize...., kwani marehemu Mch Mtikila alikuwa mjinga kusema pia Mkapa nae si wa hapa....? [emoji32]Mkuu kuna mdau mmoja kasema huyu ni mnyarwanda kwao ni gisenyi,hivyo inawezekana ana nia mbaya sana na ustawi wa taifa letu
Sasa wewe uwanja wako wa mapambano ni JF kama kweli huogopi kufa ingia barabarani siyo unapost ujinga huku umejificha na TECNO yako chumbani.Mkuu wacha police wajione washindi huko uwanja wa mapambano
Ebu nenda kachukue buku2 zako lumumbaSasa wewe uwanja wako wa mapambano ni JF kama kweli huogopi kufa ingia barabarani siyo unapost ujinga huku umejificha na TECNO yako chumbani.
Nani anapenda kuwa wa kwanza kuvunjika? Kama vipi nenda wewe kalianzishe sisi tunakuja kesho kukujoin.Polisi wawili tu wanafunzi wanawakimbia Watanzania nao tumezidi uoga
Taifa linaelekea kubaya. Mwambieni ukweli rais wenu. Acheni kumdanganya. Na nyie pia mnajidanganya. Mnashangilia mtego wa panya.Habari zilizonifikia ni kuwa polisi wamezingira Hotel ya Key's ambapo mahafali ya Chaso yanafanyika
UPDATES:
Polisi wamevamia Ukumbi wa hotel ya Keys Moshi na kutawanya wanafunzi wa CHASO waliokuwa wakiendelea na maandalizi ya mahafali ya CHASO mkoa wa Kilimanjaro
Base huku umejificha JF nenda uwanja wa mapambano uone mziki wa polisi wanavyofanya kazi ya kwa kutii sheria, yaani hiyo hotel ya Ndesamburo ndiyo mtakakugeuza uwanja wa mapambano.Wazee hapo ndio 'the base', wasituletee ukenge.
Kama mabaunsa wa Mosha walikaa hao askari ni wachache.
Halafu Keys pamekaa utamu kweli!
Yani askari wakiamshiwa popo hapo lazima wapoteane.
Wazee natamaani sana ningekuwepo hiyo mitaa tutiripue popo wa kufa mtu!
Huwa hasira inanipanda vibaya ila iko siku
Vipi tena unaogopa kuingia kwenye uwanja wa mapambano nenda kamanda ukavunjwe miguu ndiyo ushujaa tutakuchangia pesa za miguu ya bandia.Ebu nenda kachukue buku2 zako lumumba
hazikutoshi kabisaHapa kazi tu
Mambo ya kijinga yalisha pita wakati wake
Pongezi kwa police
Habari zilizonifikia ni kuwa polisi wamezingira Hotel ya Key's ambapo mahafali ya Chaso yanafanyika
UPDATES:
Polisi wamevamia Ukumbi wa hotel ya Keys Moshi na kutawanya wanafunzi wa CHASO waliokuwa wakiendelea na maandalizi ya mahafali ya CHASO mkoa wa Kilimanjaro
Now the trouble about trying to make yourself stupider than you really are is that you very often succeed.hazikutoshi kabisa