Tetesi: Polisi wazingira Keys Hotel Kwenye Mahafali ya CHASO Kilimanjaro

Tetesi: Polisi wazingira Keys Hotel Kwenye Mahafali ya CHASO Kilimanjaro

Utamaduni wa uvunjifu wa amani kwa makusudi ndiyo gia ya angani ya UKAWA!!! Tukusanyike kupanga mikakati ya kimaendeleo na siyo kutafuta bifu na utawala.
 
Naona una hamu ya kujinyea tu wewe, una ubavu wa kuwaamshia popo police wewee??? Watu wengine mnatakaga sifa za kijinga na kuwaletea polisi kashfa tu bila sababu, kha!
Umefanya utafiti au umeandika tu ?
 
Nachukia mfumo. Lakini wananchi wanaona yote haya. Woga wa nini?
 
Wazee hapo ndio 'the base', wasituletee ukenge.
Kama mabaunsa wa Mosha walikaa hao askari ni wachache.
Halafu Keys pamekaa utamu kweli!
Yani askari wakiamshiwa popo hapo lazima wapoteane.
Wazee natamaani sana ningekuwepo hiyo mitaa tutiripue popo wa kufa mtu!

uko nyuma ya keybord maneno yanakutoka tu
 
Hivi yule Dada aliyekua anapayuka jina La Amiri Jeshi Mkuu pale Dodoma jana as if anamtaja bf wake bado yupo mtaani tu... na anapumua hewa safii...

Aisee.... Police wamekua wapole sana.

Eti "mwambieni Magufuli hapa sio chato"

Whaatt.... That girl...
 
Endapo uvccm wakiruhusiwa ndio machafuko yatatokea. Hata graduation watu wanaogopa? Basi hata nyumba za ibada zigungwa. Ni unafiki kufuturisha na huku unyanyasaji unaendelea. Ni unafiki...
 
Hivi yule Dada aliyekua anapayuka jina La Amiri Jeshi Mkuu pale Dodoma jana as if anamtaja bf wake bado yupo mtaani tu... na anapumua hewa safii...

Aisee.... Police wamekua wapole sana.

Eti "mwambieni Magufuli hapa sio chato"

Whaatt.... That girl...
Mungu atatenda haki kuna siku utaulizwa hayo unayoyasema. CCM haitakuwepo. Milango us mbinguni imefungwa
 
Wako wapi waliojitamba jana kwamba wanaume wa kilimanjaro sio sawa na wanaume wa dodoma ?. Ugali wa mahindi unanoga jamani tena mahindi ya tz tofauti na ya rwanda
Hakuna ulicho kiandika zaidi ya ugoro na tumbaku
 
Back
Top Bottom