Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Tuombe munguViongozi wa dini tafakari. Mna dhamana ya kuwasemea wanyonge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuombe munguViongozi wa dini tafakari. Mna dhamana ya kuwasemea wanyonge
Umefanya utafiti au umeandika tu ?Naona una hamu ya kujinyea tu wewe, una ubavu wa kuwaamshia popo police wewee??? Watu wengine mnatakaga sifa za kijinga na kuwaletea polisi kashfa tu bila sababu, kha!
Tutafika tu hizi nguvu za ziada hazisaidiiCCM wakifanya wanaruhusiwa lakini CHADEMA tukifanya tunazuiwa na polisi huu uvumilivu utafika mwisho wake View attachment 357967
Wazee hapo ndio 'the base', wasituletee ukenge.
Kama mabaunsa wa Mosha walikaa hao askari ni wachache.
Halafu Keys pamekaa utamu kweli!
Yani askari wakiamshiwa popo hapo lazima wapoteane.
Wazee natamaani sana ningekuwepo hiyo mitaa tutiripue popo wa kufa mtu!
We kweli ni mpumbavu, nani alikwambia amani hulindwa kwa mizinga na mabomu?Hongera polisi ili amani isivurugike.
Kwanini unachekelea nchi kuteketea ?Hahaha kuna watu walikuwa wanasema watu KLM siyo kama Dodoma, haya sasa askari wetu hao onyesheni U- KLM wenu!
Hata maghorofa yanachorwa kwanza kwenye makaratasi , baadaye ndio yanajengwa .uko nyuma ya keybord maneno yanakutoka tu
Mi nilidhani anawaogopa wafadhili tu,kumbe hata wapinzani?Vipi hawajaleta na magari ya washawasha?, mzee wa majipu katika umbile lake halisi
Anadhani ataponaKwanini unachekelea nchi kuteketea ?
Kuolewa siyo kwepesi namna hiyoWewe hata ukiolewa ushukuru sana Mungu wako kwa akili kama hizi
Kisa ni wapinzani tuHivi sababu ya msingi inayotolewa na jeshi la polisi kuzuia mikusanyiko/ mikutano ya ndani kama hiyo ni ipi?
Mungu atatenda haki kuna siku utaulizwa hayo unayoyasema. CCM haitakuwepo. Milango us mbinguni imefungwaHivi yule Dada aliyekua anapayuka jina La Amiri Jeshi Mkuu pale Dodoma jana as if anamtaja bf wake bado yupo mtaani tu... na anapumua hewa safii...
Aisee.... Police wamekua wapole sana.
Eti "mwambieni Magufuli hapa sio chato"
Whaatt.... That girl...
Vibaka ni nyinyi ma ccm, aliyasema madaraka nyerereKibaka naona unatamani ungekuwepo ili utumie fursa ya kujipatia riziki kwa kutumia misuli...mna hali tete sana vibaka
Hakuna ulicho kiandika zaidi ya ugoro na tumbakuWako wapi waliojitamba jana kwamba wanaume wa kilimanjaro sio sawa na wanaume wa dodoma ?. Ugali wa mahindi unanoga jamani tena mahindi ya tz tofauti na ya rwanda