Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AsswipeMbowe Na fisadi kuu walikuepo? Hahahaha piga risasi za Moto kabisa huu MDA wa kazi Na siasa uchwara
WE UKIKAMATWA KWA UCHOCHEZI SHAURI YAKOWazee hapo ndio 'the base', wasituletee ukenge.
Kama mabaunsa wa Mosha walikaa hao askari ni wachache.
Halafu Keys pamekaa utamu kweli!
Yani askari wakiamshiwa popo hapo lazima wapoteane.
Wazee natamaani sana ningekuwepo hiyo mitaa tutiripue popo wa kufa mtu!
Sisi wengine tunasubiri mtu wa kulianzisha nasi tu joinUtalii, nimekusoma.
Popo inaamshwa bab bila kujali ni nani.
Usiogope gwanda, tunapitiaga hao hata sita mtu mmoja.Ni heshima tu
kuna watu tumekulia kwenye kupigwa na kupiga so woga sio ishu.
Na wewe tulia tu utaona, kwa huu mchaka mchaka, show haiko mbali!
Ewe mungu jaria uwaepushe wanafunzi na majibizano,maana hapo kwenye picha nakiona kitoto kinajipitia masikini hakijui nini kinaendeleaHabari zilizonifikia ni kuwa polisi wamezingira Hotel ya Key's ambapo mahafali ya Chaso yanafanyika
UPDATES:
Polisi wamevamia Ukumbi wa hotel ya Keys Moshi na kutawanya wanafunzi wa CHASO waliokuwa wakiendelea na maandalizi ya mahafali ya CHASO mkoa wa Kilimanjaro
Jaribu kutumia lugha za heshima kidogo basi maana hapa ni GT siyo fbNaona una hamu ya kujinyea tu wewe, una ubavu wa kuwaamshia popo police wewee??? Watu wengine mnatakaga sifa za kijinga na kuwaletea polisi kashfa tu bila sababu, kha!
Hatuwataki makuwadi wa siasa ndani ya ccmHao wanafunzi ndio waliokuwa wanamtukana lowasa fisadi , na kuamua kubadili gia mwez 7 mwaka jana au Ni intake mpya , wasiomjua lowasa ?
Majibu tafadhali Mkuu ukiwa hapo kishimundu
Upo wapi muda huu? Mimi nipo home chumbani nimetulia naandika huu ujumbe.Wazee hapo ndio 'the base', wasituletee ukenge.
Kama mabaunsa wa Mosha walikaa hao askari ni wachache.
Halafu Keys pamekaa utamu kweli!
Yani askari wakiamshiwa popo hapo lazima wapoteane.
Wazee natamaani sana ningekuwepo hiyo mitaa tutiripue popo wa kufa mtu!
Kumbe wewe ni mhutu ndiyo maana kauri zako zina muelekeo huo wa kuliingiza taifa kwenye mpasukoHahaha kuna watu walikuwa wanasema watu KLM siyo kama Dodoma, haya sasa askari wetu hao onyesheni U- KLM wenu!
Kumbe wewe ni mhutu ndiyo maana kauri zako zina muelekeo huo wa kuliingiza taifa kwenye mpasuko
Wewe ni muhutu na nia yako ni kulipasua taifa ili tuwe kama kwenuNi kauli na siyo kauri!