Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Tangu lini umewaona lumumba wanatumia akili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu lini umewaona lumumba wanatumia akili?
Utatokwa na mapovu sana...Hatuwezi kuwa na nchi watu wanajfanyia mambo wanavyotaka,safi sana polisi haiwezekani watu wajenge nchi wao wafnye sherehe za kuchezea hela wakati huu n muda wa kubana matumizi wanashndwa kuiga vijana wa buku saba.
kwani leo mkulu yupo kanisa gani?
Haipo mbali sana hiyoKuna siku raia watasema basi.... inatosha.
Halafu Keys pamekaa utamu kweli!
Yani askari wakiamshiwa popo hapo lazima wapoteane.
Wazee natamaani sana ningekuwepo hiyo mitaa tutiripue popo wa kufa mtu!
teh teh....
CHASO Raisi amekataza Siasa mashuleni. Eleweni basi.
Kuna wakati hospital zitaelemewaWanahangaika bure..
Kuna siku hospital zitaelemewaWanahangaika bure..
Kuna siku utalia na kuyakumbuka haya yote. Mungu hana upendeleo. Ccm haitakuwepo mbele us Mungu kukuteteaHabari zilizonifikia ni kuwa polisi wamezingira Hotel ya Key's ambapo mahafali ya Chaso yanafanyika
UPDATES:
Polisi wamevamia Ukumbi wa hotel ya Keys Moshi na kutawanya wanafunzi wa CHASO waliokuwa wakiendelea na maandalizi ya mahafali ya CHASO mkoa wa Kilimanjaro
[emoji51] [emoji51] [emoji51]Kuna siku hospital zitaelemewa
KLM waletee sanduku la kura uone, muulize Davis atakuambiaHahaha kuna watu walikuwa wanasema watu KLM siyo kama Dodoma, haya sasa askari wetu hao onyesheni U- KLM wenu!
Hivi majitu mengine yanaendaga kanisani kufanya nini? Unakuta jitu eti nalo limejipanga kwenda kukomunika, unakomunika nini wakati wewe roho yako ni sawa na shetani? Bora watu wasiwe wanaenda makanisani aiseee!Habari zilizonifikia ni kuwa polisi wamezingira Hotel ya Key's ambapo mahafali ya Chaso yanafanyika
UPDATES:
Polisi wamevamia Ukumbi wa hotel ya Keys Moshi na kutawanya wanafunzi wa CHASO waliokuwa wakiendelea na maandalizi ya mahafali ya CHASO mkoa wa Kilimanjaro