Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Wanalazimisha sasaHatuhitaji kupandwa na hasira...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanalazimisha sasaHatuhitaji kupandwa na hasira...
Wewe mjinga hujitambui nyie CCM hapa mlikuwa mnafanya nini?Hongera sana polisi, mahafali gani ya kisiasa, tumechoka kila jambo kulifanya la kisiasa, siasa zenyewe za wachumia tumbo! Mbowe umeuza CHADEMA yetu kwa mafisadi sasa unataka kuwauza na wahitimu wetu. Polisi onyesha uwezo wenu hapo.
teh teh....Hivi wasirra aka Tyson yuko wapi? Hajasikika kitambo
Hatuwezi kuwa na nchi watu wanajfanyia mambo wanavyotaka,safi sana polisi haiwezekani watu wajenge nchi wao wafnye sherehe za kuchezea hela wakati huu n muda wa kubana matumizi wanashndwa kuiga vijana wa buku saba.
kwani leo mkulu yupo kanisa gani?
Mkuu wacha police wajione washindi huko uwanja wa mapambanoPolisi wawili tu wanafunzi wanawakimbia Watanzania nao tumezidi uoga
Wewe hata ukiolewa ushukuru sana Mungu wako kwa akili kama hiziHongera sana polisi, mahafali gani ya kisiasa, tumechoka kila jambo kulifanya la kisiasa, siasa zenyewe za wachumia tumbo! Mbowe umeuza CHADEMA yetu kwa mafisadi sasa unataka kuwauza na wahitimu wetu. Polisi onyesha uwezo wenu hapo.
Hongera sana polisi, mahafali gani ya kisiasa, tumechoka kila jambo kulifanya la kisiasa, siasa zenyewe za wachumia tumbo! Mbowe umeuza CHADEMA yetu kwa mafisadi sasa unataka kuwauza na wahitimu wetu. Polisi onyesha uwezo wenu hapo.
Hao walikuwa ni wanafunzi.!??
Haya nenda kachukue buku 2 lumumbaHao wanafunzi ndio waliokuwa wanamtukana lowasa fisadi , na kuamua kubadili gia mwez 7 mwaka jana au Ni intake mpya , wasiomjua lowasa ?
Majibu tafadhali Mkuu ukiwa hapo kishimundu
Hongera polisi ili amani isivurugike.
Hawaipendi ccmKwani hawa wanafunzi wamefanya nini cha ajabu hadi juwindwa kama ndege polini?
Mkuu unaweza kupewa kesi ya uhaini.Polisi wawili tu wanafunzi wanawakimbia Watanzania nao tumezidi uoga
Maagizo kutoka kwa mtukufuHivi sababu ya msingi inayotolewa na jeshi la polisi kuzuia mikusanyiko/ mikutano ya ndani kama hiyo ni ipi?
Wanahangaika bure..Wanalazimisha sasa