Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hiyo ni 90 tu au 90%?Police zaidi ya 90 tunaishi nao mtaani, if they do us we do them
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni 90 tu au 90%?Police zaidi ya 90 tunaishi nao mtaani, if they do us we do them
Siyo kwamba watu hawatakiwi kukutana. Ni wakati wa kupiga marufuku vyama vingine vya siasa tofauti na CCM maana inaelekea CCM inataka ibaki peke yake kwa nguvu ya dola. Maana kama lingekuwa suala la kukutana tu mbona wanaCCM wao wanakutana, na hayo mahafali yamefanyika? Nimesikia jana CCM wametangaza kufanya mkutano mkuu maalum mwezi ujao tarehe 23 wakati tumeambiwa mikutano ya kisiasa imepigwa marufuku. Hapa utasema nchi hii ina uongozi?Ni wakati sasa wa kutangaza hadharani kwamba watu hawaruhusiwi kukutana. Ilianza mikutano, imefika kwenye mahafari sasa tujiandae kuyaona kwenye harusi, send off, vokoba na vikao au mikutano mingine kwa kigezo au kichaka kile kile cha amani, taarifa za kiintelijensia na the like....
Mombasa umerudi lini?Mbowe Na fisadi kuu walikuepo? Hahahaha piga risasi za Moto kabisa huu MDA wa kazi Na siasa uchwara
Wanajidanganya kuwa wataendelea kuiba kura tuNgoja wazidi tu kujipaka mavi mpaka 2020 haitahitahitaji nguvu kubwa kueleza maana ya utawala wa kiimla.
Unmaanisha Polisi wa Serikali au wa Chama Chetu sijakupata hebu elezea usije ukachonganisha CCM na Polisi kwa vyama vya upinzaniHahaha kuna watu walikuwa wanasema watu KLM siyo kama Dodoma, haya sasa askari wetu hao onyesheni U- KLM wenu!
Njia aliyo ipitia kagameSijui nchi yetu inaelekea wapi jaman?
Baba yenu
Siku haijafika tuNachukia mfumo. Lakini wananchi wanaona yote haya. Woga wa nini?
Mkuu unategemea utafiti gani kutoka kwa nyanya kama hilo?Umefanya utafiti au umeandika tu ?
Mkuu kuna mdau mmoja kasema huyu ni mnyarwanda kwao ni gisenyi,hivyo inawezekana ana nia mbaya sana na ustawi wa taifa letuKwanini unachekelea nchi kuteketea ?
Nani anapenda kuwa wa kwanza kuvunjika? Kama vipi nenda wewe kalianzishe sisi tunakuja kesho kukujoin.Polisi wawili tu wanafunzi wanawakimbia Watanzania nao tumezidi uoga
Nani anapenda kuwa wa kwanza kuvunjika? Kama vipi nenda wewe kalianzishe sisi tunakuja kesho kukujoin.Polisi wawili tu wanafunzi wanawakimbia Watanzania nao tumezidi uoga
Mtu akifanya kitu usimlaumu muulize sababuItafika kipind mtu ukivaa surual y kak basi polic wanakuzingira ama mkikaa kikundi cha watu kisha mkapga picha y pa1 kwa kuonesha alama y Vdole v2 basi magar washa yashafika.... Mungu iongoze nchi yetu
Hivi chaso ni chuo?Mikutano ya siasa haitoruhusiwa..Habari zilizonifikia ni kuwa polisi wamezingira Hotel ya Key's ambapo mahafali ya Chaso yanafanyika
UPDATES:
Polisi wamevamia Ukumbi wa hotel ya Keys Moshi na kutawanya wanafunzi wa CHASO waliokuwa wakiendelea na maandalizi ya mahafali ya CHASO mkoa wa Kilimanjaro
Aya kachukue buku 2 lumumbaHivi yule Dada aliyekua anapayuka jina La Amiri Jeshi Mkuu pale Dodoma jana as if anamtaja bf wake bado yupo mtaani tu... na anapumua hewa safii...
Aisee.... Police wamekua wapole sana.
Eti "mwambieni Magufuli hapa sio chato"
Whaatt.... That girl...
Isipokuwa ya CCM.Hivi chaso ni chuo?Mikutano ya siasa haitoruhusiwa..
Hao walikuwa ni wanafunzi.!??
Kwa kujishaua jf mnajitahidiWazee hapo ndio 'the base', wasituletee ukenge.
Kama mabaunsa wa Mosha walikaa hao askari ni wachache.
Halafu Keys pamekaa utamu kweli!
Yani askari wakiamshiwa popo hapo lazima wapoteane.
Wazee natamaani sana ningekuwepo hiyo mitaa tutiripue popo wa kufa mtu!