Polisi ya Kenya kushirikiana na LSK uchunguzi wa miili 11 ilio kutwa Dampo. Je Tanzania hii inawezekana?

Polisi ya Kenya kushirikiana na LSK uchunguzi wa miili 11 ilio kutwa Dampo. Je Tanzania hii inawezekana?

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Naona taarifa la Jeshi la Police la Kenya likisema litashirikiana hadi na taasisi zingine za kiraia katika kuchunguza miili 11 ilio kutwa.

Watashirikiana na Law Society of Kenya(LSK) hawa LSK ni mwiba mkari sana kwa Serikali ya Kenya hawa hawacheki cheki hawajipendekezi kama ilivyo Tanganyika Law Society ambao kutwa nzima ni kusifu na kuabudu watawala, kwa sasa TLS ni kama UVCCM tu ni ngumu sana kuwatofautisha na UVCCM, Tuyaache hayo.

Je Jeshi la Police Tanzania linaweza shirikiana na taaasisi zingine huru kuchunguza tu hata sakata la utekaji? Jibu ni kwamba sio rahisi kabisa na badala yake wao huwa wanajichunguza wenyewe.

Na pia taasisi za kuweza kusaidia ni kama Tanganyika law Society ambao walisha fika bei kitambo sana na kuhongwa hadi kiwanja na serikali ya CCM. Kinacho wafanya hawa TLS wawe kimya nyakati hizi na kuungana na CCM ni kuhofia zawadi ya kiwanja waliyo pewa wanaweza nyang'anywa na CCM endapo wataikosoa Serikali.
 
Naona taarifa la Jeshi la Police la Kenya likisema litashirikiana hadi na taasisi zingine za kiraia katika kuchunguza miili 11 ilio kutwa.

Watashirikiana na Law Society of Kenya(LSK) hawa LSK ni mwiba mkari sana kwa Serikali ya Kenya hawa hawacheki cheki hawajipendekezi kama ilivyo Tanganyika Law Society ambao kutwa nzima ni kusifu na kuabudu watawala, kwa sasa TLS ni kama UVCCM tu ni ngumu sana kuwatofautisha na UVCCM, Tuyaache hayo.

Je Jeshi la Police Tanzania linaweza shirikiana na taaasisi zingine huru kuchunguza tu hata sakata la utekaji? Jibu ni kwamba sio rahisi kabisa na badala yake wao huwa wanajichunguza wenyewe.

Na pia taasisi za kuweza kusaidia ni kama Tanganyika law Society ambao walisha fika bei kitambo sana na kuhongwa hadi kiwanja na serikali ya CCM. Kinacho wafanya hawa TLS wawe kimya nyakati hizi na kuungana na CCM ni kuhofia zawadi ya kiwanja waliyo pewa wanaweza nyang'anywa na CCM endapo wataikosoa Serikali.
Kwanini unauliza swali ambao liko obvious na majibu unao? Unatutega mkuu kutukamatisha?
 
Naona taarifa la Jeshi la Police la Kenya likisema litashirikiana hadi na taasisi zingine za kiraia katika kuchunguza miili 11 ilio kutwa.

Watashirikiana na Law Society of Kenya(LSK) hawa LSK ni mwiba mkari sana kwa Serikali ya Kenya hawa hawacheki cheki hawajipendekezi kama ilivyo Tanganyika Law Society ambao kutwa nzima ni kusifu na kuabudu watawala, kwa sasa TLS ni kama UVCCM tu ni ngumu sana kuwatofautisha na UVCCM, Tuyaache hayo.

Je Jeshi la Police Tanzania linaweza shirikiana na taaasisi zingine huru kuchunguza tu hata sakata la utekaji? Jibu ni kwamba sio rahisi kabisa na badala yake wao huwa wanajichunguza wenyewe.

Na pia taasisi za kuweza kusaidia ni kama Tanganyika law Society ambao walisha fika bei kitambo sana na kuhongwa hadi kiwanja na serikali ya CCM. Kinacho wafanya hawa TLS wawe kimya nyakati hizi na kuungana na CCM ni kuhofia zawadi ya kiwanja waliyo pewa wanaweza nyang'anywa na CCM endapo wataikosoa Serikali.
TLS ni uvccm iliyochangamka!
 
Polisi Tanzania wanaweza tu kuisaidia CCM kuiba kura
download.jpeg
Eti hii ndio CCTV footage ya watekaji wa Mohamed Dewji ! Hahaha ila PoliCCM.
images (1).jpeg
 
Naona taarifa la Jeshi la Police la Kenya likisema litashirikiana hadi na taasisi zingine za kiraia katika kuchunguza miili 11 ilio kutwa.

Watashirikiana na Law Society of Kenya(LSK) hawa LSK ni mwiba mkari sana kwa Serikali ya Kenya hawa hawacheki cheki hawajipendekezi kama ilivyo Tanganyika Law Society ambao kutwa nzima ni kusifu na kuabudu watawala, kwa sasa TLS ni kama UVCCM tu ni ngumu sana kuwatofautisha na UVCCM, Tuyaache hayo.

Je Jeshi la Police Tanzania linaweza shirikiana na taaasisi zingine huru kuchunguza tu hata sakata la utekaji? Jibu ni kwamba sio rahisi kabisa na badala yake wao huwa wanajichunguza wenyewe.

Na pia taasisi za kuweza kusaidia ni kama Tanganyika law Society ambao walisha fika bei kitambo sana na kuhongwa hadi kiwanja na serikali ya CCM. Kinacho wafanya hawa TLS wawe kimya nyakati hizi na kuungana na CCM ni kuhofia zawadi ya kiwanja waliyo pewa wanaweza nyang'anywa na CCM endapo wataikosoa Serikali.

Taasisi mbalimbali za Serikali kwa hapa kwetu ni hovyo kabisa, hazijui maana ya utawala bora.

Hakuna nchi ambayo inaweza kusema taasisi zake zote za Serikali ni safi kabisa. Lakini ni kwamba kwenye nchi zenye utawala bora wa sheria, waovu, bila ya kujali wapo kwenye taasisi gani, wanawajibishwa. Hiyo ni tofauti kabisa na Tanzania, ambako waovu waliopo kwenye baadhi ya taasisi za Serikali, na hata ndani ya serikali yenyewe, wanalindwa na Serikali. Wenzetu Wakenya angalao wameuvuka ujuha wa namna hiyo.

Hongera nyingi kwa Wakenya, mahali walipofikia katika utawala mzuri wa katiba na sheria. Kwetu mtu ametekwa amepelekwa kwenye majengo ya polisi, baadaye anapigwa risasi na kutupwa kwenye mbuga ya wanyama ili aliwe na wanyama, Serikali kimya! Eti itagharamia matibabu! Angekuwa amekufa, serikali ingesema itagharamia maziko. Na punguani, wale machawa wangepiga vigelegele na kusema serikali inaupiga mwingi. Lakini angeliwa na wanyama kama walivyokusudia, wangesema marehemu amepotea au yupo sehemu amejificha. Yupo wapi Ben Sanane, yupo wapi aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Kigoma bwana Kanguye, yuko wapi Azory Gwanda, nani kakamatwa kuhusiana na shambulio dhidi ya Lisu licha ya viashiria vyote vya dola kuhusika, wako wapi waliomteka Mdude, na wengine wengi. Sisi tulicho nacho hakistahili hata kuitwa ni Serikali ya wananchi. Labda litafutwe jina lingine.
 
Naona taarifa la Jeshi la Police la Kenya likisema litashirikiana hadi na taasisi zingine za kiraia katika kuchunguza miili 11 ilio kutwa.

Watashirikiana na Law Society of Kenya(LSK) hawa LSK ni mwiba mkari sana kwa Serikali ya Kenya hawa hawacheki cheki hawajipendekezi kama ilivyo Tanganyika Law Society ambao kutwa nzima ni kusifu na kuabudu watawala, kwa sasa TLS ni kama UVCCM tu ni ngumu sana kuwatofautisha na UVCCM, Tuyaache hayo.

Je Jeshi la Police Tanzania linaweza shirikiana na taaasisi zingine huru kuchunguza tu hata sakata la utekaji? Jibu ni kwamba sio rahisi kabisa na badala yake wao huwa wanajichunguza wenyewe.

Na pia taasisi za kuweza kusaidia ni kama Tanganyika law Society ambao walisha fika bei kitambo sana na kuhongwa hadi kiwanja na serikali ya CCM. Kinacho wafanya hawa TLS wawe kimya nyakati hizi na kuungana na CCM ni kuhofia zawadi ya kiwanja waliyo pewa wanaweza nyang'anywa na CCM endapo wataikosoa Serikali.
Tanzania haiwezekani, kumbuka Kolimba walivyomkolimba ndani ya kikao choa viongozi wa juu kabisa wa CCM, hakukuwa na uchunguzi wowote na kama jambo hilo lingetokea ndani ya kikao cha Chadema viongozi wote wangefikishwa mahakamani kwa kosa la mauaji.
 
Back
Top Bottom