Polisi ya Kenya na Immigration mmeshindwa kuwadhibiti Waethiopia wanaokimbilia Afrika kusini?

Polisi ya Kenya na Immigration mmeshindwa kuwadhibiti Waethiopia wanaokimbilia Afrika kusini?

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Nimeshangazwa sana na ongezeko kubwa la maelfu kwa mamia ya wahamiaji haramu kutoka Ethiopia ambao wanakamatwa na vyombo vya ulinzi na usalama hapa Tanzania.

Sasa nataka tu nijue huko Kenya watu hawa wanapita pita vipi mpaka kuingia Tanzania bila kuonekana? Hapa kuna harufu ya rushwa tena iliyokithiri katika Serikali ya Kenya hasa Idara ya Polisi na Uhamiaji.
Nikuombe Rais Uhuru Kenyatta najua wewe si member hapa lakini kwa yeyote anayehusika na masuala haya naomba amfikishie Ujumbe Mh. Rais Uhuru kwamba Ofisi yake ya Polisi na Uhamiaji imeoza kwa rushwa hasa kwenye kuwapitisha Waethiopia katika njia za panya ili kuwasaidia kuingia South Africa.

Mnaitia aibu nchi yenu haiwezekani Polisi na Uhamiaji ya Tanzania ndio ifanye Jukumu kubwa la kudhibiti wimbi la wahamiaji wa Kiethiopia wanaopita katika mipaka yenu.

Sitaki povu najua Ujumbe umefika.
 
Nimeshangazwa sana na ongezeko kubwa la maelfu kwa mamia ya wahamiaji haramu kutoka Ethiopia ambao wanakamatwa na vyombo vya ulinzi na usalama hapa Tanzania.

Sasa nataka tu nijue huko Kenya watu hawa wanapita pita vipi mpaka kuingia Tanzania bila kuonekana? Hapa kuna harufu ya rushwa tena iliyokithiri katika Serikali ya Kenya hasa Idara ya Polisi na Uhamiaji.
Nikuombe Rais Uhuru Kenyatta najua wewe si member hapa lakini kwa yeyote anayehusika na masuala haya naomba amfikishie Ujumbe Mh. Rais Uhuru kwamba Ofisi yake ya Polisi na Uhamiaji imeoza kwa rushwa hasa kwenye kuwapitisha Waethiopia katika njia za panya ili kuwasaidia kuingia South Africa.

Mnaitia aibu nchi yenu haiwezekani Polisi na Uhamiaji ya Tanzania ndio ifanye Jukumu kubwa la kudhibiti wimbi la wahamiaji wa Kiethiopia wanaopita katika mipaka yenu.

Sitaki povu najua Ujumbe umefika.
Ni tricky kuwashika waethiopia since most of them ni Oromo. Oromos are the largest tribe huko Ethiopia na wako Kenya pia, kama vile Wamasai wako kenya na tanzania. So ni ngumu kujua nani Oromo mkenya na ni nani Oromo mhabeshi so kuwatrack inakuwa ngumu.
 
Hapa swala siyo rushwa kwa upande wa Kenya,ila hawataki kungia gharama za kuwaweka ndani na gharama nyingine lukuki maana hawa ni binaadamu, ndo maana wanawachilia,mimi naona hata sisi tufanye kama kenya
 
Hapa swala siyo rushwa kwa upande wa Kenya,ila hawataki kungia gharama za kuwaweka ndani na gharama nyingine lukuki maana hawa ni binaadamu, ndo maana wanawachilia,mimi naona hata sisi tufanye kama kenya
Mkuu, unataka na sisi kama nchi tushiriki kwenye Human trafficking?
Unajua kesi yake incase umekutwa na hatia ?
 
Tuanze na Jeshi la polisi lenu kwanza kabla ya kuangazia la Kenya. Vipi hawa wenu kushindwa kuwazuia omba omba wenu kuingia Kenya ama ndio kujaribu kuturushia shida zenu tupambane nazo zikiwashinda?
fungua topic ya polisi wa Tanzania kushindwa kuzuia hao beggers kuingia kenya tutakuja kuchangia. hii ya kwangu inahusu polisi wa kenya na immigratio.
 
Wakenya hawana rohombaya kama sisi. Wao huwaacha wapite wakahangaikie maisha mbele. Sisi asiliyetu ndokama hivyo. "anaenda kufany nini huko, mzibie Riki huyo .ili mradi tuu wote tule njaa kwa usawa. Sasa unapomzuia ilhali unajua hapa anapita tuu, nini cha zaidi unafaidika zaidi ya kulea umasikini tuu?
 
Ni tricky kuwashika waethiopia since most of them ni Oromo. Oromos are the largest tribe huko Ethiopia na wako Kenya pia, kama vile Wamasai wako kenya na tanzania. So ni ngumu kujua nani Oromo mkenya na ni nani Oromo mhabeshi so kuwatrack inakuwa ngumu.
hujajibu hoja yangu. no matter kwamba ni oromo wa kenya au Ethiopia issue ni kwamba kwanini wasafiri kwa njia haramu na si kufuata sheria?
 
Hapa swala siyo rushwa kwa upande wa Kenya,ila hawataki kungia gharama za kuwaweka ndani na gharama nyingine lukuki maana hawa ni binaadamu, ndo maana wanawachilia,mimi naona hata sisi tufanye kama kenya
Mkuu kwa kusema hivyo basi hakuna haja ya kuwa na vyombo vya kudhibiti wahamiaji haramu. na je unayajua madhara ya kuachilia wahamiaji hovyo?
 
Wakenya hawana rohombaya kama sisi. Wao huwaacha wapite wakahangaikie maisha mbele. Sisi asiliyetu ndokama hivyo. "anaenda kufany nini huko, mzibie Riki huyo .ili mradi tuu wote tule njaa kwa usawa. Sasa unapomzuia ilhali unajua hapa anapita tuu, nini cha zaidi unafaidika zaidi ya kulea umasikini tuu?
hili siyo suala la roho mbaya au nzuri ni suala la kufuata sheria tu kama wana roho nzuri sana basi wafute polisi na uhamiaji huko Kenya ili wananchi na wageni wote wawe free.
 
Wakenya hawana rohombaya kama sisi. Wao huwaacha wapite wakahangaikie maisha mbele. Sisi asiliyetu ndokama hivyo. "anaenda kufany nini huko, mzibie Riki huyo .ili mradi tuu wote tule njaa kwa usawa. Sasa unapomzuia ilhali unajua hapa anapita tuu, nini cha zaidi unafaidika zaidi ya kulea umasikini tuu?

Kwa hiyo unataka nchi yetu iwe usharoba wa uhalifu. Hivi unajua ukiachia la human trafficking, utakuja la mirungi na mihadarati na kusema si haitumiki hapa?
Isitoshe huko wanakoelekea kuna shida nyingi SANA mpaka wengine hufa njiani.
 
Back
Top Bottom