Kafrican
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 7,251
- 7,037
Alafu shida nyengine ni kwamba tuko na open policy kuhusu refugees kutoka nchi Jirani, Wa South Sudan, Ethiopia, Somalia hua wakifika kwa border na kutumia neno refugee au assylum seeker , huwa wanaruhusiwa kuingia Kenya wanapewa ka recite flani inayowapatia kama 72 hours waripoti kwa kambi ya refugees ilioko karibu..... Wa ethipia wengi hua wanatumia hii sababu kuingia Kenya alafu badala ya kwenda kambi yenye iko karibu na border, kesho yake unawapata Nairobi, next day unawapata kwa border ya Tanzania,Wengi sana hunaswa, lakini pia kuna baadhi ambao huweza kuikwepa mkono wa sheria. Tuseme wakiweza kuingia Kenya kihalali kisha kukaa huku kwa mda flani.
Halafu huku Kenya, wamegundua maarifa ya kutosafiri pamoja, bali kila mmoja wao kusafiri kivyake au katika kundi la watu wachache tu, mwishowe kujumuika baada ya kuvuka mipaka yetu na kuingia nchi nyingine, hasa Tanzania.
Kwa kweli, haitoleta picha nzuri kwa vyombo vyetu vya kiusalama kila mara kuwasimamisha waethiopia na kuchunguza ikiwa wako nchini kihalali. Hiyo sasa itakuwa ni hujuma. Hilo litawezekana tu, ikiwa watapatikana wakisafiri kundi kubwa pamoja.
Tazama mwaka huu pekee walivyonaswa
https://www.google.com/search?q=ill...enya&client=ms-opera-mini-android&channel=new
According to this There are 10,000 Ethiopians seeking political Asylum in Kenya, DRC congo leads with 21,000 asylum seekers leaving in Kenya by 2017...
In addition to these 10,000 asylum seekers there are also 17,700 registered refugees from Ethiopia
https://reliefweb.int/sites/reliefweb.int/files/resources/Kenya statistics package October_2017.pdf
Kumbuka hawa ni wale officially registerd, since 2015 wasomali approx 200,000 waliregeshwa Somali -Voluntary repatriation. Waliobaki ni arround 300,000, lakini inasemekana Wasomali wanaoishi Kenya wanafika hadi 1 million
Assylum Seekers once approved hua wanaruhusiwa kutembea, kufanya biashara na kuishi popote lakini refugees hua wanatakikana kuishi ndani ya kambi ambako wanapewa vi tent na kupata chakula ni mpaka upige laini, wengi wao hua wanaona ni heri wakimbilia South Africa labda watapata maisha mazuri, wakifika pale boda ya Kenya wanasema wanaenda SA for better life, wale immigration officials wanawaachilia wapite tu manake wakienda nchi nyengine wanatupunguzia shida