Polisi ya Kenya na Immigration mmeshindwa kuwadhibiti Waethiopia wanaokimbilia Afrika kusini?

Polisi ya Kenya na Immigration mmeshindwa kuwadhibiti Waethiopia wanaokimbilia Afrika kusini?

Wengi sana hunaswa, lakini pia kuna baadhi ambao huweza kuikwepa mkono wa sheria. Tuseme wakiweza kuingia Kenya kihalali kisha kukaa huku kwa mda flani.

Halafu huku Kenya, wamegundua maarifa ya kutosafiri pamoja, bali kila mmoja wao kusafiri kivyake au katika kundi la watu wachache tu, mwishowe kujumuika baada ya kuvuka mipaka yetu na kuingia nchi nyingine, hasa Tanzania.

Kwa kweli, haitoleta picha nzuri kwa vyombo vyetu vya kiusalama kila mara kuwasimamisha waethiopia na kuchunguza ikiwa wako nchini kihalali. Hiyo sasa itakuwa ni hujuma. Hilo litawezekana tu, ikiwa watapatikana wakisafiri kundi kubwa pamoja.

Tazama mwaka huu pekee walivyonaswa

https://www.google.com/search?q=ill...enya&client=ms-opera-mini-android&channel=new
Alafu shida nyengine ni kwamba tuko na open policy kuhusu refugees kutoka nchi Jirani, Wa South Sudan, Ethiopia, Somalia hua wakifika kwa border na kutumia neno refugee au assylum seeker , huwa wanaruhusiwa kuingia Kenya wanapewa ka recite flani inayowapatia kama 72 hours waripoti kwa kambi ya refugees ilioko karibu..... Wa ethipia wengi hua wanatumia hii sababu kuingia Kenya alafu badala ya kwenda kambi yenye iko karibu na border, kesho yake unawapata Nairobi, next day unawapata kwa border ya Tanzania,



According to this There are 10,000 Ethiopians seeking political Asylum in Kenya, DRC congo leads with 21,000 asylum seekers leaving in Kenya by 2017...
upload_2018-3-8_18-46-48.png



In addition to these 10,000 asylum seekers there are also 17,700 registered refugees from Ethiopia

upload_2018-3-8_18-48-21.png




https://reliefweb.int/sites/reliefweb.int/files/resources/Kenya statistics package October_2017.pdf


Kumbuka hawa ni wale officially registerd, since 2015 wasomali approx 200,000 waliregeshwa Somali -Voluntary repatriation. Waliobaki ni arround 300,000, lakini inasemekana Wasomali wanaoishi Kenya wanafika hadi 1 million

Assylum Seekers once approved hua wanaruhusiwa kutembea, kufanya biashara na kuishi popote lakini refugees hua wanatakikana kuishi ndani ya kambi ambako wanapewa vi tent na kupata chakula ni mpaka upige laini, wengi wao hua wanaona ni heri wakimbilia South Africa labda watapata maisha mazuri, wakifika pale boda ya Kenya wanasema wanaenda SA for better life, wale immigration officials wanawaachilia wapite tu manake wakienda nchi nyengine wanatupunguzia shida
 
hizi akili bwana ombaomba atawezaje kuingia Kenya? kwa nauli gani? na je ameshindwa kuomba watu anaofahamu mpaka aje huko kwenu ambapo hata chakula kupatikana shida? Tumia akili kufikiri kama umeshindwa kujibu hoja ya [HASHTAG]#sir[/HASHTAG] John funga domo

Ukweli ndio huo baana wee.




https://www.google.com/search?clien...nnel=new&q=tanzanian+beggars+in+Kenya&spell=1

Na kuhusu hali ya njaa Kenya na Tanzania.....tukubali tu ukweli, ushabiq wa kitaifa tuachie kando...

Survey finds most Tanzanians go hungry, despite government denials

hunger-map-2015-1-638.jpg
 
Mbona kuna wengi wanakamatwa SA baada ya kupitia Kenya na Tanzania kabisa, ina maana na maafisa wenu wamelala hivyo wacha ushabiki.
Hawa hukamatwa wengi Kenya, tatizo ni kwamba kuna wakati inakua ngumu kuwathibiti maana wana asili ya Oromo hauwezi kutofautisha, Nairobi kumejaa Wamaasai wa kutokea Tanzania ambao huvuka mpaka bila stakabadhi, mbona hao super immigration, super cops, super JWTZ hawawakamati Wamaasai kabla hawajaingia Kenya......Tatizo kila nyuzi mnaleta kiushabiki mkijifanya nyie ni malaika lakini tunawafahamu nyie ni wale wale tu hamna jipya.
Umechangia kwa jazba kwenye uzi wenye staha. Mengi yamesemwa na wakenya wenzako ambayo yako constructive. Mwengine amekili immigration officers wenu wana waachia huru kuingia Tz kupunguza mzigo. Sasa tungejuaje bila huu uzi kufunguliwa. Uwe unapunguza masikhara wengine wapo kazini hapa.
 
polisi Kenya wanatumia busara wanajua fika hawa ni wapita njia wanatafuta maisha Afrika kusini. Sisemi kitu kuhusu polisi wetu vyovyote vile itasemekana uchochezi.
hapa nazungumzia kufuata sheria si namna polisi ya Tanzania inavyotenda kazi.
 
Hili tatizo la uhamiaji ni kubwa sana duniani kote
Watu wanakimbia madhila waliyokutana na matatizo ya vita na kukosa maisha ya kujikimu kwa siku hadi siku.
Hii inasababisha wengi wakimbie nchi
Eretria waliuwawa sana mpakani kwao tena na jeshi la polisi wakiwa wanaikimbia nchi yao.
Tatizo hili nililiona Calais ufaransa wakati wakimbizi wengi walikuwa wanakatisha kuingia Dover na serikali ya Uingereza ikijaribu kuwarudisha France na matokeo yake walibidi wapige kambi Calais na kuishi maisha duni kabisa.
Nafikiri ni kudhibiti borders na kuwe na patrol ili wasiweze kupenya na wakishikwa border warudishwe walikotokea
Ni suala pana sana hili ambalo linaweza kuzuilika kidogo sana
Je umoja wa Africa wanaliongeaje
lazima serikali zetu kwa pamoja kuwa na agenda ya pamoja.
 
tatizo ni kwamba huitaji visa kuingia Kenya ukiwa Mu-ethiopia! so u can imagine they can't arrest them..
Kwanini hivyo? unataka kuniambia waethiopia huingia free kenya? inafaa sasa serikali ya Kenya kuangalia suala hilo kwa umakini
 
Kwanini hivyo? unataka kuniambia waethiopia huingia free kenya? inafaa sasa serikali ya Kenya kuangalia suala hilo kwa umakini
Waethiopia bhana! Unajua ni nchi 2 tu ndio zina free entry ya Ethiopia!? Ni Kenya na Djibouti pekee. Zingine lazma MTU awe na Visa ya kuingia nchini hii jeuri sijui wanaipata wapi?
 
Mbona kuna wengi wanakamatwa SA baada ya kupitia Kenya na Tanzania kabisa, ina maana na maafisa wenu wamelala hivyo wacha ushabiki.
Hawa hukamatwa wengi Kenya, tatizo ni kwamba kuna wakati inakua ngumu kuwathibiti maana wana asili ya Oromo hauwezi kutofautisha, Nairobi kumejaa Wamaasai wa kutokea Tanzania ambao huvuka mpaka bila stakabadhi, mbona hao super immigration, super cops, super JWTZ hawawakamati Wamaasai kabla hawajaingia Kenya......Tatizo kila nyuzi mnaleta kiushabiki mkijifanya nyie ni malaika lakini tunawafahamu nyie ni wale wale tu hamna jipya.
wamasai kuingia kenya kwa stakabadhi siyo tatizo maana wamefuata sheria. hoja yangu ni waoromo wanaopita njia za panya mpaka south africa. mimi ninachotaka ni udhibiti wa pamoja kwa serikali zote kuanzia addis ababa nairobi dar mpaka joberg. Je kwa upande wa Kenya sijaona mkiwakamata wahamiaji haramu hawa kama inavyofanyika Tanzania na nchi nyingine za kusini mwa afrika. usilete povu bro twende taratibu
 
Nimeshangazwa sana na ongezeko kubwa la maelfu kwa mamia ya wahamiaji haramu kutoka Ethiopia ambao wanakamatwa na vyombo vya ulinzi na usalama hapa Tanzania.

Sasa nataka tu nijue huko Kenya watu hawa wanapita pita vipi mpaka kuingia Tanzania bila kuonekana? Hapa kuna harufu ya rushwa tena iliyokithiri katika Serikali ya Kenya hasa Idara ya Polisi na Uhamiaji.
Nikuombe Rais Uhuru Kenyatta najua wewe si member hapa lakini kwa yeyote anayehusika na masuala haya naomba amfikishie Ujumbe Mh. Rais Uhuru kwamba Ofisi yake ya Polisi na Uhamiaji imeoza kwa rushwa hasa kwenye kuwapitisha Waethiopia katika njia za panya ili kuwasaidia kuingia South Africa.

Mnaitia aibu nchi yenu haiwezekani Polisi na Uhamiaji ya Tanzania ndio ifanye Jukumu kubwa la kudhibiti wimbi la wahamiaji wa Kiethiopia wanaopita katika mipaka yenu.

Sitaki povu najua Ujumbe umefika.
Mtoa mada akili huna
 
Nimeshangazwa sana na ongezeko kubwa la maelfu kwa mamia ya wahamiaji haramu kutoka Ethiopia ambao wanakamatwa na vyombo vya ulinzi na usalama hapa Tanzania.

Sasa nataka tu nijue huko Kenya watu hawa wanapita pita vipi mpaka kuingia Tanzania bila kuonekana? Hapa kuna harufu ya rushwa tena iliyokithiri katika Serikali ya Kenya hasa Idara ya Polisi na Uhamiaji.
Nikuombe Rais Uhuru Kenyatta najua wewe si member hapa lakini kwa yeyote anayehusika na masuala haya naomba amfikishie Ujumbe Mh. Rais Uhuru kwamba Ofisi yake ya Polisi na Uhamiaji imeoza kwa rushwa hasa kwenye kuwapitisha Waethiopia katika njia za panya ili kuwasaidia kuingia South Africa.

Mnaitia aibu nchi yenu haiwezekani Polisi na Uhamiaji ya Tanzania ndio ifanye Jukumu kubwa la kudhibiti wimbi la wahamiaji wa Kiethiopia wanaopita katika mipaka yenu.

Sitaki povu najua Ujumbe umefika.
WaEthiopia wanapita njia tu Kenya,kwanini uhamiaji Kenya wapoteze nguvu na rasilimali (resource) za kuwazuia!!?? wakati wanajua kuwa hao watu hawabakiii hapo Kenya...

Ni watu wenye akili mgando kama watanzania ndio wanakuwa na mawazo ya kijinga kama yako,Je unajua Uhamiaji Tanzania inatumia rasilimali (resource) kiasi gani cha pesa na nguvu zao kuwazuia hao waithiopia..

Fikiri fanya uamuzi kwa uhalisia sio kwa hisia,Uhamiaji kenya naona wako werevu kuliko uhamiaji Tanzania,kwa hili...
 
Alafu shida nyengine ni kwamba tuko na open policy kuhusu refugees kutoka nchi Jirani, Wa South Sudan, Ethiopia, Somalia hua wakifika kwa border na kutumia neno refugee au assylum seeker , huwa wanaruhusiwa kuingia Kenya wanapewa ka recite flani inayowapatia kama 72 hours waripoti kwa kambi ya refugees ilioko karibu..... Wa ethipia wengi hua wanatumia hii sababu kuingia Kenya alafu badala ya kwenda kambi yenye iko karibu na border, kesho yake unawapata Nairobi, next day unawapata kwa border ya Tanzania,



According to this There are 10,000 Ethiopians seeking political Asylum in Kenya, DRC congo leads with 21,000 asylum seekers leaving in Kenya by 2017...
View attachment 707868


In addition to these 10,000 asylum seekers there are also 17,700 registered refugees from Ethiopia

View attachment 707869



https://reliefweb.int/sites/reliefweb.int/files/resources/Kenya statistics package October_2017.pdf


Kumbuka hawa ni wale officially registerd, since 2015 wasomali approx 200,000 waliregeshwa Somali -Voluntary repatriation. Waliobaki ni arround 300,000, lakini inasemekana Wasomali wanaoishi Kenya wanafika hadi 1 million

Assylum Seekers once approved hua wanaruhusiwa kutembea, kufanya biashara na kuishi popote lakini refugees hua wanatakikana kuishi ndani ya kambi ambako wanapewa vi tent na kupata chakula ni mpaka upige laini, wengi wao hua wanaona ni heri wakimbilia South Africa labda watapata maisha mazuri, wakifika pale boda ya Kenya wanasema wanaenda SA for better life, wale immigration officials wanawaachilia wapite tu manake wakienda nchi nyengine wanatupunguzia shida
Afadhali wewe nimekuelewa.you sound better than some of you.
 
Alafu shida nyengine ni kwamba tuko na open policy kuhusu refugees kutoka nchi Jirani, Wa South Sudan, Ethiopia, Somalia hua wakifika kwa border na kutumia neno refugee au assylum seeker , huwa wanaruhusiwa kuingia Kenya wanapewa ka recite flani inayowapatia kama 72 hours waripoti kwa kambi ya refugees ilioko karibu..... Wa ethipia wengi hua wanatumia hii sababu kuingia Kenya alafu badala ya kwenda kambi yenye iko karibu na border, kesho yake unawapata Nairobi, next day unawapata kwa border ya Tanzania,



According to this There are 10,000 Ethiopians seeking political Asylum in Kenya, DRC congo leads with 21,000 asylum seekers leaving in Kenya by 2017...
View attachment 707868


In addition to these 10,000 asylum seekers there are also 17,700 registered refugees from Ethiopia

View attachment 707869



https://reliefweb.int/sites/reliefweb.int/files/resources/Kenya statistics package October_2017.pdf


Kumbuka hawa ni wale officially registerd, since 2015 wasomali approx 200,000 waliregeshwa Somali -Voluntary repatriation. Waliobaki ni arround 300,000, lakini inasemekana Wasomali wanaoishi Kenya wanafika hadi 1 million

Assylum Seekers once approved hua wanaruhusiwa kutembea, kufanya biashara na kuishi popote lakini refugees hua wanatakikana kuishi ndani ya kambi ambako wanapewa vi tent na kupata chakula ni mpaka upige laini, wengi wao hua wanaona ni heri wakimbilia South Africa labda watapata maisha mazuri, wakifika pale boda ya Kenya wanasema wanaenda SA for better life, wale immigration officials wanawaachilia wapite tu manake wakienda nchi nyengine wanatupunguzia shida
MK254 soma hii
 
Waethiopia bhana! Unajua ni nchi 2 tu ndio zina free entry ya Ethiopia!? Ni Kenya na Djibouti pekee. Zingine lazma MTU awe na Visa ya kuingia nchini.
nashangaa sana serikali ya Ethiopia kuachia raia wake wanazurura hovyo kama kuku na tunaambiwa ni nchi ambayo uchumi wake unakua kwa kasi hapa Africa sijajua bado tatizo la msingi la nchi ya Ethiopia . nimesikia waziri wao mkuu haile mariyam ameresign juzi juzi hapa. wana shida ya msingi hao
 
Back
Top Bottom