Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu

Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu

Leo nmetafakari sana.
Yan hata wale wafiraji wa wake zao leo nao wanawasema walofira mtoto wa watu.

ACheni kuwaumiza wake zenu kisa kutaka raha. Au kuwaumiza wapenz wenu kisa kutaka raha. Nanyi wanawake achen mchezo wenu mchafu
Ndivyo inavyokuwaga, ukiona mtu anakazia kulaani ujue ndio mwenyew
 
alifanya hivo ili asiumie zaidi angeweza kufa hapohapo ...ili mwanamke asipate maumivu makali akibakwa inabidi achukulie kam yuko kwenye sex na kama wabakaji hawajatumia madawa wanaweza piga hata watano na demu asifanye kitu mbaya akiresist ataumia sana........hii ni trick ambayo wanajesh wa kike hufundishwa pamoja na watu wa TIS wa kike
Kabisa,
 
Mjadala wa wabakaji unaelekea kufungwa rasmi kihuni

1.Wabakaji hawakuwa askari wa JWTZ bali migambo na wavuta bangi

2.They were acting alone hawajatumwa na AFANDE

3.Mpaka sasa DPP hajaandaa charge sheet

Lakini aliyechoma picha ya rais alishitakiwa na kuhumiwa kwa fast track

IMG_3676.jpeg
 
Kwa hyo ndio imeisha hvyooooo


Watt wakikee muwe makinii Sanaa na wanaume wahunii , police CCM hawatoei msaada Tena wakuwatetea ...

Mkifika geto mzimee cm😂😂
 
Back
Top Bottom