Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu

Mkuu wala hakuna viboko ukisema hutaki, Watu wengi tu walitumiana pm bila shida sema wengine wameshafuta, kama mambo ya kisiasa tu wanashindwa kuwadaka hadi wamsumbue max itakuwa connection 😀😀
 
Leo nmetafakari sana.
Yan hata wale wafiraji wa wake zao leo nao wanawasema walofira mtoto wa watu.

ACheni kuwaumiza wake zenu kisa kutaka raha. Au kuwaumiza wapenz wenu kisa kutaka raha. Nanyi wanawake achen mchezo wenu mchafu
Ndivyo inavyokuwaga, ukiona mtu anakazia kulaani ujue ndio mwenyew
 
Kabisa,
 
Mjadala wa wabakaji unaelekea kufungwa rasmi kihuni

1.Wabakaji hawakuwa askari wa JWTZ bali migambo na wavuta bangi

2.They were acting alone hawajatumwa na AFANDE

3.Mpaka sasa DPP hajaandaa charge sheet

Lakini aliyechoma picha ya rais alishitakiwa na kuhumiwa kwa fast track

 
Kwa hyo ndio imeisha hvyooooo


Watt wakikee muwe makinii Sanaa na wanaume wahunii , police CCM hawatoei msaada Tena wakuwatetea ...

Mkifika geto mzimee cm😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…