DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Sikutishi hata Mimi sijaangalia nasikia tu mkuu.Mbona unanitisha mkuu🌚,. Basi sitaki naogopa🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikutishi hata Mimi sijaangalia nasikia tu mkuu.Mbona unanitisha mkuu🌚,. Basi sitaki naogopa🤔
Ghaiii… ila binadamu 🙌Wanasema alitoka na mume wa mtu,. Mke ndio akatuma wahuni wamfanyie hivyo
Wanadai alitembea na mume wa mjeda Fulani akatumiwa vijana wa hovyo wakampopoa mixer na kumsodomizeBinti alikosea nini?
Basi fanya kuirudisha si unajua nilikua na haraka hata sikuangalia mwenyewe na nikafuta bahati mbayawewe si ndio umenitumia?😅😅
Ghaiii… ila binadamu 🙌
Mpaka mke anatuma wahuni means nae alishakuwa useless kwa mume. Angekuwa na thamani wangeyajenga chumbani.
Wanaume wasio cheat ukikusanya laki 1. Wasiocheat unapata mmoja au ukose kabisa 🤣🤣
Wanasema mke ni Askari eti,. Ila maisha hayaGhaiii… ila binadamu 🙌
Mpaka mke anatuma wahuni means nae alishakuwa useless kwa mume. Angekuwa na thamani wangeyajenga chumbani.
Wanaume wasio cheat ukikusanya laki 1. Wasiocheat unapata mmoja au ukose kabisa 🤣🤣
Huyu waziri ninamwamini kwa kiwango kikubwa.Dkt. Gwajima D Fanya kazi yako! Unadhamana ya kuwatumikia wananchi hususani hawa wanyonge ambao wanafanyiwa ukatili kila kukicha.
15yrs? Nikadhani kulumbembe ameshakomaa ðŸ˜Wanasema mke ni Askari eti,. Ila maisha haya
Binti mdogo kabisa 15yrs
Kwakweli wacha tu tuendelee kuimagineSikutishi hata Mimi sijaangalia nasikia tu mkuu.
Wanasema mke ni Askari eti,. Ila maisha haya
Binti mdogo kabisa 15yrs
Yaani wanaume hawa basi tu ,. Yaani ana mke na anachepuka kwa watoto wadogo,. Asa sijui alimdanganya nini masikini15yrs? Nikadhani kulumbembe ameshakomaa ðŸ˜
Mhhh! Wazazi tuzae na tujue kulea.
Sijui nisemeje unielewe… ila as woman umechitiwa, si unatakiwa uanze kutafuta chanzo? Au ni boom to kisasi? Kama hilo baba ndio lihuni?Na wanawake ambao wapo tayari wakuone unatoka na Mme wake wakuache salama ni mmoja Kati ya laki saba
Ndo hivyo,. Ni mtoto mdogo kabisa anafanyiwa namna hiyo wakati iliwezekana tu kukachapa fimbo kukaambia kasirudie tenaHuyo binti aliyebakwa Ana 15 yrs?
Sema mwanamke akija katika nyumba yako bora akute unamiliki bunduki na sio kukuta kanga ya mwanamke
wanakwambia ni nature. Ni vile tu afanye kwa kukuheshimu aliyekuweka ndani, usione dalili wala kujua.Yaani wanaume hawa basi tu ,. Yaani ana mke na anachepuka kwa watoto wadogo,. Asa sijui alimdanganya nini masikini
Mungu atusaidie sana.Adui wa mwanamke no mwanamke
Ndo hivyo,. Ni mtoto mdogo kabisa anafanyiwa namna hiyo wakati iliwezekana tu kukachapa fimbo kukaambia kasirudie tena
Nenda Twitter (x.com) utakutana nayoNdo hivyo,. Ni mtoto mdogo kabisa anafanyiwa namna hiyo wakati iliwezekana tu kukachapa fimbo kukaambia kasirudie tena