Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee🤔. Bora kuachaHaitishi, inasikitisha
Ningeiona hiyo video ningekuwa na position ya kujadili vizuri lakini mtunyima sijui kwaniniHaitishi, inasikitisha
😮,. Eee Yesu wanguMmoja ni pte form 4. So huyu probably alikuwa muhuni toka enzi… maana picha zinaonyesha anavuta sigara
Ptuuu
Katika watu siwapendi ni wanajeshi wa Tanzania.Sio Mdada wa Kazi, katembea na mume wa mtu , mwenye mumewe ndio mwanajeshi ndio kawatuma Hao wamkomeshe asiendelee kutembea na mume wake....
Hapo ndio wambea hawajuikwamba iyo video imevuja au wamepost wao wenyewe kuhisi ni ujanja🤔?
Wengi kama mimi tu,. Ngoja nitulie nikutumie mkuuTangu jana naona pipo zinacomment kuhusu huu ufirauni, ukiomba video wanadai hawajaiona.
Au ndo ile unakwenda na mdundo.
Kama unayo niione.
mambo ya kupata kazi kwa connection yanatutesa sana wabongo🙌Hapo ndio wambea hawajui
Mmoja naona kamaliza level 3 mwaka huu. RTS mwaka jana.. Means bado mbichi sana jeshini, uwenda alifanya sbb boss kasema 🙌
Nitumie na mimiWengi kama mimi tu,. Ngoja nitulie nikutumie mkuu
Daah hii inakuwaje hii yaani mmoja kwenye 100kGhaiii… ila binadamu 🙌
Mpaka mke anatuma wahuni means nae alishakuwa useless kwa mume. Angekuwa na thamani wangeyajenga chumbani.
Wanaume wasio cheat ukikusanya laki 1. Wasiocheat unapata mmoja au ukose kabisa 🤣🤣
Kama ni mtu uko na roho ya kibinadamu na hautaki akili yako kujaza mizigo ya kuwaza, achana nayoNitumie na mimi
Street iko na majibu yote. 😃😃 mmekuwa wanyama siku hizi nyieDaah hii inakuwaje hii yaani mmoja kwenye 100k
Kwa wewe mwanamke lazima uumie sanaBasi nimeghairi inaonekana inatisha🤔🌚
Angekata moto na kesi ingekuwa kubwa zaidi, murder case!WALIFANYA VIZURI KUTOMPA MAJI YA KUNYWA
🙏🏽🙏🏽Wengi kama mimi tu,. Ngoja nitulie nikutumie mkuu
Bangi itoe mkuu Hawa walikunywa pombe na kuvuta ungaVijana pengine walivuta bangi na kunywa konyagi kwa maana si akili za mwanadamu timamu.
Wazo lako ni fikirishi, pombe na ngada huchangia akili kuwehuka na mtu kutenda tabia isiyo njema.Bangi itoe mkuu Hawa walikunywa pombe na kuvuta unga
Hahahahaha utakua unafanya kosa la kusambaza picha za udhalilishajiWengi kama mimi tu,. Ngoja nitulie nikutumie mkuu