Prince Luanda
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 2,255
- 2,825
Hawatafanywa kitu hao mtaambiwa tu Binti hatoi ushirikiano kwa jeshi la police
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe nitumie tu kwasababu tutaitumia hiyo video kama kutoa funzo kwa mwenza wakoKama ni mtu uko na roho ya kibinadamu na hautaki akili yako kujaza mizigo ya kuwaza, achana nayo
Kwa namna nalijua wenge la kitu, awa jamaa wangekuwa wamevuta bange uyu binti angekuwa salama🙌Bangi itoe mkuu Hawa walikunywa pombe na kuvuta unga
Wanataka za vocha ndo wakutumie. Kuna mmoja humu naitwq somebody nasoro sijui.. ndo kazi yake hii kajiajiriNingeiona hiyo video ningekuwa na position ya kujadili vizuri lakini mtunyima sijui kwanini
mwenza wangu kwa kumaanisha nni??🤔Wewe nitumie tu kwasababu tutaitumia hiyo video kama kutoa funzo kwa mwenza wako
Yah man wangeishia tu kumpa darasa kwamba sio vizuri kutembea na mume wa mtu kama bosi wao!Kwa namna nalijua wenge la kitu, awa jamaa wangekuwa wamevuta bange uyu binti angekuwa salama🙌
Sisi wanaume tunachiti sana , ila siku hizi wake nao wameanza kujenga hiyo tabia. Lakini kwa wanaume ni level nyingine.Ghaiii… ila binadamu 🙌
Mpaka mke anatuma wahuni means nae alishakuwa useless kwa mume. Angekuwa na thamani wangeyajenga chumbani.
Wanaume wasio cheat ukikusanya laki 1. Wasiocheat unapata mmoja au ukose kabisa 🤣🤣
Akifanya upuuzi inaweza kumkuta hiyo kitu ni kama tu unampa kitisho kwa story ya hiyo video nilivyoambiwa huyo binti katembea na mke wa mtu ndio maana imemkuta hivyo so mwenza wako ukimuonesha hiyo video atajifunza kuwa hatakiwi kucheat ni kitu kibayamwenza wangu kwa kumaanisha nni??🤔
Hiyo ni njaa na kujidhalilishaWanataka za vocha ndo wakutumie. Kuna mmoja humu naitwq somebody nasoro sijui.. ndo kazi yake hii kajiajiri
Au ndio maana link inanigomea kuattachHahahahaha utakua unafanya kosa la kusambaza picha za udhalilishaji
Link inagoma kuattach mkuu🙏🏽🙏🏽
Si ulikuwa unaogopa jamaniLink inagoma kuattach mkuu
Nimeangalia mkuu inasikitisha kwakweli,. Halafu hawa majamaa mbona kama ni askari na sio wahuni tu kama wanavyosema🤔🤔,. Nimeangaliaa style zao za kunyoa na ndevu pia mbona hawana,. Na wengine ni kama ni wadogo bado🤔Kwa wewe mwanamke lazima uumie sana
Nimeangalia mkuu inasikitisha kwakweli,. Halafu hawa majamaa mbona kama ni askari na sio wahuni tu kama wanavyosema🤔🤔,. Nimeangaliaa style zao za kunyoa na ndevu pia mbona hawana,. Na wengine ni kama ni wadogo bado🤔
Nimeangalia saizi kipenzi,. Kiukweli inasikitisha lakini mbona kama hao majamaa wote ni askari na sio wahuni kama wanavyosema🤔🤔,. Halafu huyu binti em ngoja kwanza…. Halafu mbona kama majamaa ndo wanaonekana walichoka halafu binti bado wamoto,. Like howw??🤔🤔Si ulikuwa unaogopa jamani
Ujasiri umeutoa wapi tena
Vipi? NI ndugu yako? Alilamba ajira Mwaka jana sio?Hiiii🤔
Ila hii nchi hii,. Duuh🤔Vipi? NI ndugu yako? Alilamba ajira Mwaka jana sio?
Sijui wazazi wake au nduguze wanajisikiaje?Kabinti hadi kanaomba maji ya kunywa.
Inasikitisha sana