Mtani naona mpaka kuandika huwezi. Ongezeke???2 chache kwa Polisi Tanzania.?? Kocha Matola kabadili kamwene na pingu kipigo kile kile kama cha Iringa.View attachment 1182970
Kama nawaona mlivyopata shida mkitaka magoli ongezeke.
Ni mechi ya kirafiki jamani ile.
Nimeshaedit Mtani. Najua mmepata pa kuongea. Uwanja ni wenu Mtani.Mtani naona mpaka kuandika huwezi. Ongezeke???2 chache kwa Polisi Tanzania.?? Kocha Matola kabadili kamwene na pingu kipigo kile kile kama cha Iringa.
Hata sijajua aiseee Mkuu.Hivi madactari wanaweka MIDADI katika kundi gani la magonjwa ya akili?
Pole mtani. Kwenye migongo wazi wote wewe ni mmojawapo ninayemheshimu. Kwani unajua utani wa timu hizi bila matusi wala jazba. Mtani sio kabila hilo kwamba huwezi badili. Ohh shauri yako.Nimeshaedit Mtani. Najua mmepata pa kuongea. Uwanja ni wenu Mtani.
Ila nirudie tu ile ni mechi ya kirafiki na mpira una matokeo matatu pia.
Nadhani sasa mko tayari kwa mechi ngumu ya CACL huko ugenini maana mmetambua makosa yenu yalipo.Nimeshaedit Mtani. Najua mmepata pa kuongea. Uwanja ni wenu Mtani.
Ila nirudie tu ile ni mechi ya kirafiki na mpira una matokeo matatu pia.
Nina rafiki yangu ni daktari wa magonjwa ya akili lakini hajui kiswahili, nataka nimuulize hili swali lakini nimeshindwa kwa kuwa sijui neno midadi kwa kizungu ni nini? Msaada tafadhali.Hivi madactari wanaweka MIDADI katika kundi gani la magonjwa ya akili?
@Shadeeya mguu pandeeeeeee mguu sawaaaaaaa mbeleeee tembeaaaaa.Nimeshaedit Mtani. Najua mmepata pa kuongea. Uwanja ni wenu Mtani.
Ila nirudie tu ile ni mechi ya kirafiki na mpira una matokeo matatu pia.