Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Mkaguzi huyo amewambia wananchi wa kata yake kuwa anatambua namna wanavyojitahidi kuwalinda watoto huku akiwataka kutambua kuwa yeye kama Mkaguzi wa kata hiyo apendi kusikia mtoto kapotea akisisitiza kila mtu awe mwangalizi wa mtoto ili kusitokee matukio kama hayo.
Aidha amebainisha kuwa kila mtu anapaswa kuwa mlinzi wa watoto ambapo amewataka kutoangalia kuwa uyu ni mtoto wanani na badala yake kuhusika na ulinzi kwa kila mtoto katani hapo.