Watanzania walio wengi wako Bize na Yanga na Simba mtu wa namna hiyo ni kazi sana kumkomboa.
Ni kweli hii sio habari ni taarifaNi kawaida, hakuna mtamzania aliyetegemea kwamba Policcm itaruhusu.
Hata hao CDM kabla ya kutoa tamko walijua fika, yaani CCM irihusu maandamano ya CDM kupinga utekaji.
Kwa hiyo hii si habari.
Kwa sababu sio watoto wala ndugu zako wa karibu ujinga umekujaaNi jambo jema
Hizi ndizo episode wanazozitengeneza TanPol kuonekana si jeshi linalosimamia usalama wa raia.Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, David Misime, ameeleza kuwa Jeshi la Polisi limepiga marufuku maandamano yaliyoandaliwa na CHADEMA, ambayo yalikuwa yamepangwa kufanyika Septemba 23 katika jiji kuu la kibiashara, Dar es Salaam. Marufuku hiyo imetolewa kwa lengo la kudumisha amani na usalama wa wananchi.
Misime aliongeza kwamba hatua hii imechukuliwa kwa sababu baadhi ya viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekuwa wakipanga mikakati ya kuchochea vurugu nchini, hali ambayo inaleta hatari kwa amani ya nchi. Alisema kuwa mara kadhaa serikali imeagiza kufanyika kwa uchunguzi ili kubaini walipo wanachama waliodaiwa kupotea, lakini baadhi ya watu wanaendelea kutoa mipango inayolenga kuharibu amani.
Soma: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
"Kwanini wanataka kututoa kwenye reli hatua za kiupelelezi zinazoendelea baada ya Rais Samia Suluhu kuagiza kufanyika kwa uchunguzi, mara kadhaa viongozi na wafuasi wamekuwa wakipanga na kuratibu mikakati mbalimbali na kutoa mipango yenye lengo la leta vurugu nchini ili kuharibu amani ya nchi yetu kwasababu zao wenyewe, kutokana na taarifa hiyo jeshi la polisi nchini limepiga marufuku kuacha kuendelea kuhamasisha kujihusisha katika uhalifu huo"
Upelelezi wa tukio la Lissu na kupotea Ben haujakamilika mpaka leo. Nini kinakufanya huu utakamilika ndani ya wiki mbili?Chadema,hekima ni kusubiri upelelezi ukamilike, muone nini kimeletwa mezani, tukijadili tuone!
Mamlaka za juu hizihizi ndizo zinazohusishwa.Majadiliano ndiyo njia sahihi, maandamano huingiliwa na watu Waovu ndani yake, wenye husda mbaya, jambo linachunguzwa kwa kina na mamlaka sahihi za juu basi ni budi tuwe na subira kwanza!
Uchunguzi gani wewe mnaofanya? Mkuu anayeongoza genge la uhalifu na utekaji ni MAFWELE ,sativa alipelekwa kituo cha Oysterbay kwa kuteswa ,mbona hamumkamati MAFWELE au yupo juu ya sheria?Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, David Misime, ameeleza kuwa Jeshi la Polisi limepiga marufuku maandamano yaliyoandaliwa na CHADEMA, ambayo yalikuwa yamepangwa kufanyika Septemba 23 katika jiji kuu la kibiashara, Dar es Salaam. Marufuku hiyo imetolewa kwa lengo la kudumisha amani na usalama wa wananchi.
Misime aliongeza kwamba hatua hii imechukuliwa kwa sababu baadhi ya viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekuwa wakipanga mikakati ya kuchochea vurugu nchini, hali ambayo inaleta hatari kwa amani ya nchi. Alisema kuwa mara kadhaa serikali imeagiza kufanyika kwa uchunguzi ili kubaini walipo wanachama waliodaiwa kupotea, lakini baadhi ya watu wanaendelea kutoa mipango inayolenga kuharibu amani.
Soma: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
"Kwanini wanataka kututoa kwenye reli hatua za kiupelelezi zinazoendelea baada ya Rais Samia Suluhu kuagiza kufanyika kwa uchunguzi, mara kadhaa viongozi na wafuasi wamekuwa wakipanga na kuratibu mikakati mbalimbali na kutoa mipango yenye lengo la leta vurugu nchini ili kuharibu amani ya nchi yetu kwasababu zao wenyewe, kutokana na taarifa hiyo jeshi la polisi nchini limepiga marufuku kuacha kuendelea kuhamasisha kujihusisha katika uhalifu huo"
Yale yaliachiwa kwasababu yalihusu maswala ya ndani ya chama hayakuwa na athari....huoni haya yenye athari juu ya serikali wameanza kuyaropokea bila hayaWatanzania walio wengi wako Bize na Yanga na Simba mtu wa namna hiyo ni kazi sana kumkomboa.
Yale Maandamano ya juzi juzi wengi walikuwa wanashangaa tuu wamekaa kwenye Vijiwe vyao vya Kahawa.
Hata baada ya miaka 7 utakuwa unasubil upelelezi??Chadema,hekima ni kusubiri upelelezi ukamilike, muone nini kimeletwa mezani, tukijadili tuone!
Yale yenyewe hayakupata Watu wengi Watanzania hawako Serious mambo ya kipuuzi puuzi ndio wako mstari wa mbele.Yale yaliachiwa kwasababu yalihusu maswala ya ndani ya chama hayakuwa na athari....huoni haya yenye athari juu ya serikali wameanza kuyaropokea bila haya
"We were forced to form a Paramilitary Wing of uMkhonto we Sizwe (MK) within the ANC because the Government of Whites Minority of South Africa was terrorising us ANC by using the State Security Forces."Sidhani kama tanzania ndio nchi ya kwanza au ya mwisho ambayo vyombo vya usalama vinaingilia siasa hii imejitokeza mara kwa mara..
Shida hapa ni upinzani wa hii nchi hauna upinzani wenye mvuto na ubunifu kwa wananchi wengi wanaona ni kama hakunaga upinzani.
Vyama vya upinzania hasa chadema fanyeni utafiti wa kina kwenye nchi nyingine duniani vyama vyao vilifanyaje na vilitumia mbinu gani kujikwamua dhidi ya vyombo vya usalama ambavyo vilikuwa vinaingilia siasa..
>>>>>>>>>>>
Kabla ya Samia kusema walikuwa wamejikalia tu....Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, David Misime, ameeleza kuwa Jeshi la Polisi limepiga marufuku maandamano yaliyoandaliwa na CHADEMA, ambayo yalikuwa yamepangwa kufanyika Septemba 23 katika jiji kuu la kibiashara, Dar es Salaam. Marufuku hiyo imetolewa kwa lengo la kudumisha amani na usalama wa wananchi.
Misime aliongeza kwamba hatua hii imechukuliwa kwa sababu baadhi ya viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekuwa wakipanga mikakati ya kuchochea vurugu nchini, hali ambayo inaleta hatari kwa amani ya nchi. Alisema kuwa mara kadhaa serikali imeagiza kufanyika kwa uchunguzi ili kubaini walipo wanachama waliodaiwa kupotea, lakini baadhi ya watu wanaendelea kutoa mipango inayolenga kuharibu amani.
Soma: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
"Kwanini wanataka kututoa kwenye reli hatua za kiupelelezi zinazoendelea baada ya Rais Samia Suluhu kuagiza kufanyika kwa uchunguzi, mara kadhaa viongozi na wafuasi wamekuwa wakipanga na kuratibu mikakati mbalimbali na kutoa mipango yenye lengo la leta vurugu nchini ili kuharibu amani ya nchi yetu kwasababu zao wenyewe, kutokana na taarifa hiyo jeshi la polisi nchini limepiga marufuku kuacha kuendelea kuhamasisha kujihusisha katika uhalifu huo"