Pre GE2025 Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Utekaji na mauaji havikubaliki Hata kidogo. Hata hivyo, tuheshimu Mamlaka, tulizozipa madaraka ya kufanya uchunguzi kwa mujibu wa sheria na taratibu zetu, zifanye kazi yake.

Zaidi, toka kukua kwangu na hasa kwenye ufuatiliaji wa mambo ya msingi kwa Taifa hili sijawahi kusikia Taasisi ya kisiasa iliyo Nje ya mfumo wa utawala wa nchi, ikiitisha maamndano ya kuwaambia serikali ikubali ushauri wa Taasisi hiyo iliyowapelekea kuhusu furusa za kiuchumi, kitenolojia na Hata kidiplomasia ambazo zingeweza kuwa kuwakwamua wananchi kutoka kwenye lindi la umasikini....! Mara nyingi ni maandamano yanayolenga kutengua serikali ili Taasisi hizo ziingie madarakani wakati zinajua hazijaimarika kwa kazi hiyo.

Povu ruksa!
 
Unashaurije katika hili? Inawezekana kisiasa lakini matukio hayo yapo..unashaurije au nini maoni yako kwenye hisia za matukio hayo?
 
....maoni yako kwenye hisia za matukio hayo?
Kama nitakuwa nimeelewa Maswali yako. Majibu yangu ni kuwa, Tutumie hisia za matukio haya vyema ili tuwabaini wahalifu wanaotekeleza unyama huu na kuwaleta kwenye Vyombo vya sheria wahukumiwe na kupewa adhabu wanayostaili.
 
Yaani Polisi hawa ni full kujikanyaga na kuweweseka.....!

By the way, hivi haya matamko yao hawa Polisi kama hili huyatolea chumbani au mbele ya waandishi wa habari...?

Kama huwa ni PC ya kawaida mbele ya waandishi wa habari, inawakuwaje hawa waandishi kina Pascal Mayalla au kina ChoiceVariable au Tlaatlaah au Lucas Mwashambwa au kina Stroke wameshindwa kumuuliza polisi huyu maswali muhimu na magumu Ili ajibu..?

Mfano;

1. Polisi inapigaje marufuku kitu ambacho wala hakipo mezani kwao? Bila shaka huku ni kupanic na kuweweseka kwa hali ya juu...

2. Sheria inasemaje kuhusu haki ya watu kuandamana kudai haki zao mbalimbali...?

3. Polisi ndiyo watuhumiwa, wanaweza vipi kujichunguza hata adai tusubiri uchunguzi wao. Ni uchunguzi upi huo na unafanyikia wapi na kina nani wanahusika? Au ni mwendelezo huuhuu wa kuchunguzia kwenye vyumba vyao vya utesaji, kuwalazimisha watu wakiri makosa kwa kipigo na kisha kuwaua....?

4. Kuna polisi wametajwa kwa majina kuhusika kwao, polisi imechukua hatua gani...?

##ALL IN ALL: SAMIA SULUHU HASSAN MUST GO....!
 
Mzee Mbowe ni genge lake kwisha habari yao ,mlipewa nafasi ya kufanya siasa za kiustaarabu baada ya kuona kuwa yale maandamano uchwara yalishindwa kuleta tija iliyotarajiwa sasa mmenza siasa za kutaka kuonewa huruma .
Kuna siku nawe utapotea, Mungu hamfichi mnafiki
 
Ameshiba damu nyingi za wanachadema,ila ajue malipo ni hapa hapa duniani
 
Msemaji wa Polisi DCP David Misime amesema CHADEMA kutangaza maandamano wakati wao wamepewa agizo na Rais la kufanya upelelezi na kumkabidhi ripoti ni kutaka kuwatoa kwenye reli. Ina maana Mtu akilalamika na kutaka kesi ya mauaji ya ndugu yake iharakishwe ni kuwatoa wapelelezi kwenye RELI? Au Polisi wanatumia Narrow Gauge kiasi kwamba masuala mapana yanawashinda?
 

Attachments

  • 20240913_170923.jpg
    132.9 KB · Views: 1
Itakuwa meter-gauge railway kama ya TAZARA
 
Do not befriend a police man. Shirikiana nao pale tu penye ulazima. Lakini ukimweka kwenye inner circle ya marafiki zako, kuna price tabidi ulipe .
 
Jeshi la vilaza.
Wiki ya pili inakatika.hawaelewi wanafanya nini hata aliyewatuma nae hajui kawatuma nini.
 
Tamko la hovyo, warudishe vijana wetu kwanza. Halafu Chadema waje na mkakati mwingine, maandamano hayajawahi kuwa suluhisho kwenye jambo lolote nchi hii,watu wataumia tu na bado mambo yatabaki vile vile.
Nakubaliana na wewe "ni TAMKO LA HOVYO", lakini hapo hapo unawashauri CHADEMA "waje na mkakati mwingine" badala ya maandamano. Lakini huja pendekeza chochote cha mbadala!

Watu kuumia, tayari wanaumia, au hao wanachama wa CHADEMA siyo watu?

Kwa nini usitoe angalau ushauri wako kuuelekeza huko serikalini, maana wao ndio chanzo kikuu cha matatizo haya.

Waambie serikali na CCM waache kuwaumiza waTanzania wenzako, bila kujali wapo CHADEMA au CCM.
 
chama na serikali
Chama $
ugumu uko hapa kwa wapinzani


ova
 
Naunga mkono hoja,hatutaki vurugu wasije mlaumu kamanda Awadh
 
Tii ziro ni koloni la nani?
Nchi inaongozwa ki katiba au ki hisia za walio madarakani?
Wao wanafaidi mishahara na marupurupu makubwa wengine ni vilio na kuzika nduguzao kwa kutekwa,kuteswa na kuuwawa!!
VERY EASY;
ROMA NA DEWJI WAHOJIWE NA "INTERPOL" NINANI WALIOWATEKA NA KUWATUPA UNUNIO ILI KUPITIA WAO UCHUNGUZI UENDELEE TUJUE ALIOMTEKA MZEE WETU NA KUMUUA
 
Wazee wa maridhiano,Mama karudisha hiki na kile..
 
Daaah. Yani polisi wanafanya upelelezi kimagumashi harafu wanasema mambo ya kunya
 
Kumbe kupata daraja la IV kidato cha nne huwa sio bahati mbaya, na ndio waliojaa humo.

Kusoma kwao na kuchanganua hata mambo madogo ni suala gumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…