Pre GE2025 Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu

Pre GE2025 Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, David Misime, ameeleza kuwa Jeshi la Polisi limepiga marufuku maandamano yaliyoandaliwa na CHADEMA, ambayo yalikuwa yamepangwa kufanyika Septemba 23 katika jiji kuu la kibiashara, Dar es Salaam. Marufuku hiyo imetolewa kwa lengo la kudumisha amani na usalama wa wananchi.


Misime aliongeza kwamba hatua hii imechukuliwa kwa sababu baadhi ya viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekuwa wakipanga mikakati ya kuchochea vurugu nchini, hali ambayo inaleta hatari kwa amani ya nchi. Alisema kuwa mara kadhaa serikali imeagiza kufanyika kwa uchunguzi ili kubaini walipo wanachama waliodaiwa kupotea, lakini baadhi ya watu wanaendelea kutoa mipango inayolenga kuharibu amani.

Soma: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea

"Kwanini wanataka kututoa kwenye reli hatua za kiupelelezi zinazoendelea baada ya Rais Samia Suluhu kuagiza kufanyika kwa uchunguzi, mara kadhaa viongozi na wafuasi wamekuwa wakipanga na kuratibu mikakati mbalimbali na kutoa mipango yenye lengo la leta vurugu nchini ili kuharibu amani ya nchi yetu kwasababu zao wenyewe, kutokana na taarifa hiyo jeshi la polisi nchini limepiga marufuku kuacha kuendelea kuhamasisha kujihusisha katika uhalifu huo"
Ukiwa na akili timamu na hofu ya Mungu, huwezi kuwa askari polisi.
 
Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, David Misime, ameeleza kuwa Jeshi la Polisi limepiga marufuku maandamano yaliyoandaliwa na CHADEMA, ambayo yalikuwa yamepangwa kufanyika Septemba 23 katika jiji kuu la kibiashara, Dar es Salaam. Marufuku hiyo imetolewa kwa lengo la kudumisha amani na usalama wa wananchi.


Misime aliongeza kwamba hatua hii imechukuliwa kwa sababu baadhi ya viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekuwa wakipanga mikakati ya kuchochea vurugu nchini, hali ambayo inaleta hatari kwa amani ya nchi. Alisema kuwa mara kadhaa serikali imeagiza kufanyika kwa uchunguzi ili kubaini walipo wanachama waliodaiwa kupotea, lakini baadhi ya watu wanaendelea kutoa mipango inayolenga kuharibu amani.

Soma: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea

"Kwanini wanataka kututoa kwenye reli hatua za kiupelelezi zinazoendelea baada ya Rais Samia Suluhu kuagiza kufanyika kwa uchunguzi, mara kadhaa viongozi na wafuasi wamekuwa wakipanga na kuratibu mikakati mbalimbali na kutoa mipango yenye lengo la leta vurugu nchini ili kuharibu amani ya nchi yetu kwasababu zao wenyewe, kutokana na taarifa hiyo jeshi la polisi nchini limepiga marufuku kuacha kuendelea kuhamasisha kujihusisha katika uhalifu huo"
Eti uhalifu. Wao wenyewe ndo wanatuhumiwa kuwafanyia wananchi uhalifu. Wakilindwa na hayo mwagwanda.
 
Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, David Misime, ameeleza kuwa Jeshi la Polisi limepiga marufuku maandamano yaliyoandaliwa na CHADEMA, ambayo yalikuwa yamepangwa kufanyika Septemba 23 katika jiji kuu la kibiashara, Dar es Salaam. Marufuku hiyo imetolewa kwa lengo la kudumisha amani na usalama wa wananchi.


Misime aliongeza kwamba hatua hii imechukuliwa kwa sababu baadhi ya viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekuwa wakipanga mikakati ya kuchochea vurugu nchini, hali ambayo inaleta hatari kwa amani ya nchi. Alisema kuwa mara kadhaa serikali imeagiza kufanyika kwa uchunguzi ili kubaini walipo wanachama waliodaiwa kupotea, lakini baadhi ya watu wanaendelea kutoa mipango inayolenga kuharibu amani.

Soma: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea

"Kwanini wanataka kututoa kwenye reli hatua za kiupelelezi zinazoendelea baada ya Rais Samia Suluhu kuagiza kufanyika kwa uchunguzi, mara kadhaa viongozi na wafuasi wamekuwa wakipanga na kuratibu mikakati mbalimbali na kutoa mipango yenye lengo la leta vurugu nchini ili kuharibu amani ya nchi yetu kwasababu zao wenyewe, kutokana na taarifa hiyo jeshi la polisi nchini limepiga marufuku kuacha kuendelea kuhamasisha kujihusisha katika uhalifu huo"
Mpumbavu mmoja huyu hapa. Uchunguzi gani mnaoufanya wakati mmeshaambiwa hamuwezi kujichunguza kwa sababu ninyi wenyewe ni watuhumiwa na hivyo Waziri Mkuu ndiye ameagizwa kuunda tume ya uchunguzi ni kwa kuwa Amiri Jeshi Mkuu amekiri ninyi ni watuhumiwa hivyo nanyi ni sehemu ya mnaopaswa kuchunguzwa.
Jinsi tu mlivyolisoma hilo tamko lenu inadhihirisha dhahiri kwamba ninyi ni wahusika wakuu katika haya yanayoendelea.
 
Wametoa sababu zozote za kwanini?!😮‍💨😏😒

Ni kwanini wamepiga Marufuku maandamano yetu?!
Upepelezi gani unaoendelea wakati watuhumiwa wanatajwa waziwazi na hawakamatwi?
Patakuwa hapotoshi
Wanasemaje kuhusu wale waliyopotea

Ova
Hii mijitu mipolisi ya ajabu sana, yang'ang'ania kufanya uchunguzi wakati hata rais amelazimika kuamuru usifanywe na wao kwa kuwa wao pia ni watuhumiwa na rais akalihamishia kwa Waziri Mkuu aliyndie tume.
Jambo la ajabi pamoja na rais kutoa amri hiyo bado jeshi hilo kupitia msemaji wake wanang'ang'ania kuendelea na uchunguzi. Huu ni ukaidi wa dhahiri kwa rais.
IGP, DCI na Msemaji wa Polisi na Kamanda wa Operation na Mafunzo wanapaswa kuondolewa ofisini
 
Hii mijitu mipolisi ya ajabu sana, yang'ang'ania kufanya uchunguzi wakati hata rais amelazimika kuamuru usifanywe na wao kwa kuwa wao pia ni watuhumiwa na rais akalihamishia kwa Waziri Mkuu aliyndie tume.
Jambo la ajabi pamoja na rais kutoa amri hiyo bado jeshi hilo kupitia msemaji wake wanang'ang'ania kuendelea na uchunguzi. Huu ni ukaidi wa dhahiri kwa rais.
IGP, DCI na Msemaji wa Polisi na Kamanda wa Operation na Mafunzo wanapaswa kuondolewa ofisini
Wanaongea as if wenyewe ndo wako juu ya rais kimamlaka.
 
Kweli kabisa, Chadema wanachotaka kufanya ni uhaini, naona haya mambo aliyaandaa marehemu wa Tanga, Mwenyezi Mungu akampenda, sasa nadhani aliowapa mafunzo ya kijeshi wanataka kujipima
Fracking idiot
 
Jeshi la polisi nchini limeonya kuwa litachukua hatua dhidi ya wanachama wa chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema ) wanaopanga kufanya maandamano kuanzia September 23 mwaka huu.

Ovyo hilo limetolewa mjini moshi Leo na jeshi hilo kupitia kwa msemaji wake Naibu Kamishna wa polisi(DCP),David Misime katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika kwenye shule kuu ya polisi,zamani ikiitwa CCP.

Misime amesema septemba 11 kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii,walisikika viongozi wa Chadema akiwamo mwenyekiti wao,Freeman Mbowe wakiwahamasisha wananchi wa Jijini Dar es salaam kuingia barabarani kuanzia septemba 23,2024.

Alisema viongozi hao waliendelea kuhamasisha wananchi wa kanda mbalimbali kukutana Dar es salaam Ili kuungana na wakazi wa Jiji hilo kuingia barabarani.

Misime amesema kuwa jeshi la polisi linatoa onyo kwa viongozi wa chama hicho kuacha kuendelea kuhamasisha wananchi kujihusisha katika uharifu huo na yeyote atakayeingia barabarani atakabiliwa vilivyo kwa mujibu wa sheria za nchi na kwamba maandamano hayo yamepigwa marufuku.

"Jeshi la polisi linatoa ovyo kwa viongozi wa chama hicho kuacha kuendelea kuhamasisha wananchi kujihusisha katika uharifu huo na yeyote atakayeingia barabarani atakabiliwa vilivyo kwa mujibu wa sheria za nchi kwa maana hiyo maandamano hayo yamepigwa marufuku".

"Jeshi la polisi linatoa katazo kwa yeyote atakayealikwa/kuelekezwa kufika Dar es salaam kutoka mkoa wowote ule kwa ajili ya maandamano hayo,asithuhutu kufanya hivyo kwani maandamano hayo ni haramu na hayatafanyika,hivyo,asipoteze muda na gharama yake".

"jeshi la polisi linatoa Rai kwa wananchi wapenda amani kutokubali kurubuniwa,kudanganywa au kushawishiwa kwa namna yeyote na badala yake waendelee kushirikiana na jeshi la polisi kutoa taarifa za viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani".

"Hatua hiyo waliyofikia tunajiuliza na tunaendelea kufuatilia na kuchunguza kwa nini wanataka kututoa kwenye reli ya hatua za kiupelepezi zinazoendelea baada ya Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na Amir jeshi mkuu,Mhe😀kt.Samia Suluhu Hassan kuelekeza vyombo vya uchunguzi vifanye uchunguzi Kisha kuwasilisha taarifa kwake.

Akahitimisha Afande Misime.

Onyo limetolewa,mwenye macho haambiwi tazama
 
Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, David Misime, ameeleza kuwa Jeshi la Polisi limepiga marufuku maandamano yaliyoandaliwa na CHADEMA, ambayo yalikuwa yamepangwa kufanyika Septemba 23 katika jiji kuu la kibiashara, Dar es Salaam. Marufuku hiyo imetolewa kwa lengo la kudumisha amani na usalama wa wananchi.


Misime aliongeza kwamba hatua hii imechukuliwa kwa sababu baadhi ya viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekuwa wakipanga mikakati ya kuchochea vurugu nchini, hali ambayo inaleta hatari kwa amani ya nchi. Alisema kuwa mara kadhaa serikali imeagiza kufanyika kwa uchunguzi ili kubaini walipo wanachama waliodaiwa kupotea, lakini baadhi ya watu wanaendelea kutoa mipango inayolenga kuharibu amani.

Soma: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea

"Kwanini wanataka kututoa kwenye reli hatua za kiupelelezi zinazoendelea baada ya Rais Samia Suluhu kuagiza kufanyika kwa uchunguzi, mara kadhaa viongozi na wafuasi wamekuwa wakipanga na kuratibu mikakati mbalimbali na kutoa mipango yenye lengo la leta vurugu nchini ili kuharibu amani ya nchi yetu kwasababu zao wenyewe, kutokana na taarifa hiyo jeshi la polisi nchini limepiga marufuku kuacha kuendelea kuhamasisha kujihusisha katika uhalifu huo"
hawa jamaa huwa siwaelewi kabisa mwishoni anamalizia kusema atakeyeingia barabarani atakabiliwa kwa mujibu wa sheria je ni sheria ipi hiyo
 
-
Ule wa Lissu mpaka leo umefikia wapi?
Hawawezi kujichunguza na wanawezeja kumchunguza Mwenyekiti wa ma RCO's nchi nzima?
Akili ya chadema nimekwisha ielewa, wanatumia formulae ya "" SUPU YA MBWA HULIWA YA MOTOMOTO"kwamba suala likingoja SUPU ITAPOA, sisi wahuni wa zamani tunayajua haya yote! Ha ha ha 😂😂😂
 
Back
Top Bottom