Kwani nimefanya kosa lipi kuweka taarifa zilizotolewa na jeshi la polisi? Mimi nimewasilisha taarifa kama ilivyo pasipo kuongeza neno lolote lile
Kama hufurahii,lihame hilo lichama la wauhajiSiwezi nikafurahia kifo cha mwanadamu aliyeumbwa kwa mfano wa Mungu.hata mwenye makosa hastahili kuuwawa kinyama pasipo kufikishwa katika vyombo vya kisheria kama vile mahakama
Nadhani Kwa kuwa mazuri yote yanayofanywa na serikali huchuliwa kama yamefanywa na serikali na viongozi wa CCM hujinasibu kwa serikali yao kufanya, vivyo hivyo hata kwenye mabaya watu wakirusha makombora kwa CCM usihuzunike maana ndo mwenye serikali. Kikubwa tulaani watekajiCCM? Acha ujinga, CCM inahusika vipi, shut up plz, hivi kwanini jambo likitokea tena baya unasema ni CCM? Ujue unakosea sana
Hii issue ingetakiwa watu tuandamane kama Kenya mpaka kielewekeSema ndugu zangu CCM mnachofanya sio SAWA kabisa , hii nchi imewashinda?
Naunga mkono hojaWe jamaa uwe unaangalia na mambo ya ku post.
Au ni bora tu usinge post, kwa post zako za nyuma inaonekana ni kama unawakejeli wa chama pinzani.
Mwisho uje uanze kutafutwa , watu wamechefukwa hivi sasa, we endelea na huo ujinga. Unafikiri kila kitu ni kuleta uchawa. Hizi ni siasa.
Kwa mara ya kwanza Leo umeandika mstari mmoja tu
Nadhani Kwa kuwa mazuri yote yanayofanywa na serikali huchuliwa kama yamefanywa na serikali na viongozi wa CCM hujinasibu kwa serikali yao kufanya, vivyo hivyo hata kwenye mabaya watu wakirusha makombora kwa CCM usihuzunike maana ndo mwenye serikali. Kikubwa tulaani watekaji
Ni taarifa ya masikitikoKwa mara ya kwanza Leo umeandika mstari mmoja tu
Kwanini nihame? Ni wapi ulishaona CCM ikiunga mkono Vitendo vya mauaji kama hiki kifo cha kada wa CHADEMA?Kama hufurahii,lihame hilo lichama la wauhaji
Kina nani waliomuwa mawazo?Kwanini nihame? Ni wapi ulishaona CCM ikiunga mkono Vitendo vya mauaji kama hiki kifo cha kada wa CHADEMA?
Unaona ripoti ya polisi ni kawaida tu, maisha ya kawaida tu, kwa sababu aliyeuwawa ni kiongozi wa CHADEMA.Kwanza nitoe pole sana kwako binafsi na chama chote cha CHADEMA kwa tukio hilo la kumpoteza kiongozi wenu.najuwa maumivu yake.poleni sana katika hilo.inaumiza kwa binadamu yeyote mwenye moyo wa nyama.pole sana ndugu yangu Erythrocytes kwa kifo cha kiongozi wenu.