The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Kwani nimefanya kosa lipi kuweka taarifa zilizotolewa na jeshi la polisi? Mimi nimewasilisha taarifa kama ilivyo pasipo kuongeza neno lolote lile
Utakuja kututafutia ban, jaribu kuelewa nyakati na majira. Kwanini ume hariri/ edit post Yako ya awali kama haikua na nyongeza ya maneno Yako binafsi?
Hao waliotoa hiyo taarifa nao inamaana hawakupata taarifa kwamba mazingira ya ukamatwaji wa marehem ulihusisha askari wa barabarani?
Naona hii ni ukurupukaji baada ya kusikia kauli ya Mheshimiwa.