Udikteta wa Magufuli ni kuwatumbua vyeti feki, wakwepa kodi, wadhulumaji, mafisadi, wezi, walamba asali, majizi, wauza ngadaHilo halibadilishi udikteta WA MAGUFULI. Mbona enzi ya jakaya maandamano mengi tu yalizuiwa. Mkuu MAGUFULI alikuwa DIKTETA Tena hatari kusini mwa jangwa la sahara
Mbona waliopiga pesa za umma hawakusubiri mfungo wala kwaresma. Walipiga bila kujali chochoteSubirini mfungo uishe basi jaman
Usitoke hapo itv ni habari ya DuniaKULA CHUMA HIKO
Lakini kuwawajibisha wezi wa fedha za umma kunakosababisha maisha kuzidi kuwa magumu kwa "wanyonge" sio kipaumbele?usalama kwa watanzania ni kipaumbele namba moja
Unaposema watanzania unamaanisha ccm na familia zaousalama kwa watanzania ni kipaumbele namba moja
ACT si mnajionaga ni chama kikuu cha upinzani? Hivi kweli polisi wanakuwa wengi kuliko waandamanaji halafu useme una chama hapo? chadema itakuja mpango mkakati wa nn kifanyike na sio maandamano... Level ya maandamàno walishaivukaNawapongeza ACT na Nondo Kwa kudiriki kuandamana ingawa Kuna watu wabupinzani wanaAMINI ni staged.
Ngoja tusubiri maandamano ya chama kikuu Cha upinzani kikiongozwa na Lissu kuwataka walioguswa na Ripoti ya cag wakae pembeni Ili uchunguzi wa kurudisha pesa zetu uendelee.
Wao kipaombele chao nikuwawajibisha wezi wakuku ili iwe fundisho kwa wengine. Kwao hawataki iwe fundishoLakini kuwawajibisha wezi wa fedha za umma kunakosababisha maisha kuzidi kuwa magumu kwa "wanyonge" sio kipaumbele?
Mkakati huo kabambe una baraka za wananchi?Act c mnajionaga ni chama kikuu cha upinzani??? Hv kweli polisi wanakuwa wengi kuliko waandamanaji alafu useme una chama hapo??? chadema itakuja mpango mkakati wa nn kifanyike na sio maandamano... Level ya maandamàno walishaivuka
Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
Bravo ACT Wazalendo!!Nawapongeza ACT na Nondo Kwa kudiriki kuandamana ingawa Kuna watu wabupinzani wanaAMINI ni staged.
Ngoja tusubiri maandamano ya chama kikuu Cha upinzani kikiongozwa na Lissu kuwataka walioguswa na Ripoti ya cag wakae pembeni Ili uchunguzi wa kurudisha pesa zetu uendelee.
Heshima ipo hiyo unayoizungumzia ilhali wakwepa Kodi wakuu na wahuni wanakwenda kula futari huko??Yaani kabisa, walitegemea wanaandamana mpaka ikulu? Hata adabu hawana....who can allow such nonsense. Kila mtu akiruhusiwa kuandamana kwenda Ikulu heshima ya ikulu itakuwaje. Mambo ya kutazama kwenye movie wanadhani ni uhalisia
Mimi thread zangu ni check an balance kati ya awamu ya sita na ile ya tano,leo ngome ya vijana ya Act wazalendo ilipanga kufanya maandamano hadi ikulu kwa mama yao kipenzi rafiki wa demokrasia, diplomasia na maendeleo aliyekuja kuwapa uhuru walio ukosa kwa miaka sita ya Magufuli.
Wamekutana na na kukabiliana na polisi wakiwa bado eneo la ofisi zao , polisi walijihami kwa siraha , mabomu ,virungu na pingu wakawambia wasithubutu kuvuka eneo lao,yako wapi ya kusema Magufuli alikuwa dikiteta
USSR View attachment 2591863
===
Dar es Salaam, Tanzania - Maandamano ya amani yaliyokuwa yakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Ngome ya Vijana, Abdul Nondo, kuelekea Ikulu kwa Rais Samia Suluhu Hassan, yamekabiliwa na zuio la polisi katika ofisi za chama hicho zilizopo Magomeni Jijini Dar es Salaam leo.
Maandamano hayo yaliyoandaliwa na vijana wa ACT yalilenga kuonesha hisia zao dhidi ya wabadhirifu wa fedha za umma waliotajwa kwenye ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG). Abdul Nondo, aliongoza maandamano hayo akiwa na vijana wengine.
Hii ni mara ya kwanza kwa vijana wa ACT kufanya maandamano ya aina hii, na tukio hili limezua mjadala mkubwa katika jamii kuhusu suala la ufisadi na uwajibikaji wa watumishi wa umma. Rais Samia Suluhu Hassan hajatoa tamko lolote kuhusu maandamano hayo hadi sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app